Nape, tuambie ufisadi wa Lowassa

msema ovyo unamsafisha Lowasa?
Saint Ivuga, shida yangu si kumsafisha. Kwanza Lowassa mwenyewe mimi namfahamu kwenye TV na kwenye magazeti tu. Lakini hapa ninachotafuta ni haki. Mbona amesakamwa sana wakati kila nikichunguza sioni tatizo lake ni nini? watu wamekazania Richmond, lakini hakuna direct connection ya Lowassa na Richmond, kama ilivyo kwa Chenge - Rada na Rostam - Kagoda + Dowans. Sasa kwanini Nape anamkomalia sana kwamba ni Fisadi?
 
Csiem hakuna msafi!
Umesema vema. Wakati akina Nape wanawakomalia wenzao kwamba ni mafisadi, na wao wameficha ufisadi wao na kugombea kulipwa posho kwa kazi waliyoajiriwa kuifanya. Kwa hapo nakubali kabisa, CCM wote ni wachafu, Kikwete akiwa ndo mchafu kuwashinda wengine, maana hao anaowatuhumu leo kuwa ni mafisadi, walitumiwa na CCM kutuibia ili wamuweke yeye Kikwete madarakani. Na kwa kuwa CCM wote ni wachafu basi hawana sababu ya kusakama Lowassa.
 
Saint Ivuga, shida yangu si kumsafisha. Kwanza Lowassa mwenyewe mimi namfahamu kwenye TV na kwenye magazeti tu. Lakini hapa ninachotafuta ni haki. Mbona amesakamwa sana wakati kila nikichunguza sioni tatizo lake ni nini? watu wamekazania Richmond, lakini hakuna direct connection ya Lowassa na Richmond, kama ilivyo kwa Chenge - Rada na Rostam - Kagoda + Dowans. Sasa kwanini Nape anamkomalia sana kwamba ni Fisadi?
kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu? ...hivi kwa akili yako unafikiri kuna mtanzania yoyote anayeweza kuachia madaraka bila ya makosa? ufisadi wa Loawssa ni kama kiitikio cha wimbo sasa hivi watu wameandika sana ufisadi wake hadi hapa JF wewe tafuta thread zipo nyingi zinazoelezea ufuisadi wa Lowasa . muache Nape atufukuzie hii mijamaa.. hata kama hutaki kumkubali Nape ila Nape ni mwiba kwa hawa wadudu ndio maana hata RA alimtaja katika hotuba yake.. Chadema walichofanya ni kumtwisha ccm zigo then wamemwachia anahangaika nalo .. na nape ndio forwadi, hata Lowasa na Cgenge lazima wamtaje Nape katika hotuba zao watakazo zitoa.
 
Wee huna hoja, nimesema mtuambie ni wapi palipochotwa hela na mkaambiwa kwamba amechota Lowassa? Tupe ushahidi kwamba yeye alikusanya hela ya Richmond kwa namna yoyote ile. Na kwamba yeye ndiye aliyeingia mkataba ya Richmond au kujihusisha na Richmond kwa namna yoyote ile. Hatutaki blabla, leteni ushahidi. Mbona ushahidi wa Chenge kushiriki kwenye wizi wa Rada mmeutoa, lakini wa Lowassa hamleti? Huu ndo ulimbukeni wa watanzania walio wengi. Wanaishi kwa kuamini magazeti, ndiyo maana hata pale mlipodanganywa na magazeti kwamba kikwete ni rais mzuri mkampa kura kwa asilimia 80, kumbe mwenzenu anakwenda kucheza disco Ikulu. Fanyeni utafiti na si kuamini katika udaku. Ukisema Lowassa ni fisadi kwa kuwa ni tajiri, basi hata Mohamed enterprises naye ni fisadi kwa kuwa naye ni tajiri. Utajiri ni akili ya mtu na si lazima kila anayekuwa na hela awe ameiba.
MSEMA ovyo UNAJARIBU KUMSAFISHA EL UMECHELEWA MNO, AU KUNA KITU UMEAHIDIWA NA WEWE NI FISADI KALE CHAKULA ULALE
 
Ndugu Nape Nnauye, kwa kuwa katika namna yoyote, wewe na wanamagamba wengine kama Sitta na Chiligati mmeshindwa kuthibitisha ufisadi wa Lowassa mbele ya jamii, nafikiri umefika wakati sasa wa kurudi nyuma na kumuomba radhi mheshimiwa huyu kutokana na kumchafua bila sababu.

Nilianzisha thread juzi ya kuwataka watanzania walete ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, watu wamebaki tu kuniambia eti ni tajiri. That is nonsense, kwani matajiri wote ni mafisadi. Kwa kuwa wewe huna mbinu za utafutaji hela, basi mwenzako akijinyima na kuwekeza sehemu productive unamgeuka na kumwita Fisadi? Sasa nyie magamba kwakuwa hamna ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, tunataka sasa mmuombe radhi mbele ya halaiki kama mlivyofanya wakati wa kumchafua.

Msema hovyo....ZAO LA UFISADI!!
 
kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu? ...hivi kwa akili yako unafikiri kuna mtanzania yoyote anayeweza kuachia madaraka bila ya makosa? ufisadi wa Loawssa ni kama kiitikio cha wimbo sasa hivi watu wameandika sana ufisadi wake hadi hapa JF wewe tafuta thread zipo nyingi zinazoelezea ufuisadi wa Lowasa . muache Nape atufukuzie hii mijamaa.. hata kama hutaki kumkubali Nape ila Nape ni mwiba kwa hawa wadudu ndio maana hata RA alimtaja katika hotuba yake.. Chadema walichofanya ni kumtwisha ccm zigo then wamemwachia anahangaika nalo .. na nape ndio forwadi, hata Lowasa na Cgenge lazima wamtaje Nape katika hotuba zao watakazo zitoa.
Mkuu, kujiuzulu ni hulka ya mtu na nia ya kuwajibika kutokana na yanayotokea chini ya usimamizi wake. Mbona Ali Hassan Mwinyi naye alijiuzulu uwaziri wakati wake? Je alikosa nini? Lakini hapohapo geukia watu kama akina Hussein Mwinyi ambapo mabomu ya jeshi yamekuwa yakiua watu wasio na hatia na hajachukua hatua yoyote, unataka kusema hana makosa? Au mwangalie ngeleja. Pamoja na kushindwa kabisa kutatua tatizo la umeme linaloikabili nchi, bado hajaona sababu ya kujiuzulu. Lowassa angeweza angeamua kujikausha. After all, report ya akina Mwakyembe haikumtaja Lowasa moja kwa moja. Kwa hiyo angeweza tu kujikausha asijiuzulu kama ambavyo akina Hussein Mwinyi na Ngeleja walivyojikausha.

Mimi nashangaa mnaweka blabla nyingi tu juu ya ufisadi wa Lowasa cha ajabu hamsemi ni wapi ambapo paliibiwa na ikabainika kwamba aliyeiba ni Lowassa. Nataka hapo. Nakumbuka hata Nyerere wakati anamkataa Nyerere alimkataa kutokana na utajiri wake. Hakutaja popote kwamba Lowassa ni mla rushwa. Sasa hii habari ya ufisadi mnaoutaja ninyi leo upo wapi? Nataka mseme alichukua hela mahali fulani (kama ambavyo tunataja za Kagoda au za Rada). Lowassa alichukua zipi?

Kuna kitu hapa nafikiri hamjakielewa kuhusu Nape. Huyu bwana amewekwa ili kumsafishia njia Kikwete. Kwa kuwa Nape alishaonyesha mapema ubavu wa kupingana na Lowassa hadharani, basi Kikwete akamwona ndiye anayefaa katika hiyo shughuli ya kummaliza na kumwangamiza rafiki yake. Kwahiyo Nape anatumika kama vuvuzela la Kikwete kwa ajili ya kupazia sauti ya kuwafukuzia mbali marafiki zake wa zamani. Kutokana na tofauti zao zaz kiuongozi. Remember, Lowassa alikuwa anaonekana kuwa na mamlaka mkubwa kumshinda Kikwete wakati akiwa waziri mkuu, na hii ikawa ni threat kubwa kwa Kikwete, kama ilivyokuwa wakati wa Nyerere na Sokoine.
 
Ndugu Nape Nnauye, kwa kuwa katika namna yoyote, wewe na wanamagamba wengine kama Sitta na Chiligati mmeshindwa kuthibitisha ufisadi wa Lowassa mbele ya jamii, nafikiri umefika wakati sasa wa kurudi nyuma na kumuomba radhi mheshimiwa huyu kutokana na kumchafua bila sababu.

Nilianzisha thread juzi ya kuwataka watanzania walete ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, watu wamebaki tu kuniambia eti ni tajiri. That is nonsense, kwani matajiri wote ni mafisadi. Kwa kuwa wewe huna mbinu za utafutaji hela, basi mwenzako akijinyima na kuwekeza sehemu productive unamgeuka na kumwita Fisadi? Sasa nyie magamba kwakuwa hamna ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, tunataka sasa mmuombe radhi mbele ya halaiki kama mlivyofanya wakati wa kumchafua.

Mkuu mambo ya Lowassa yamejadiriwa sana hapa jamvini.unaweza kulazimisha ng'ombe kumpeleka mtoni lakini ni vigumu kumlazimisha kunywa maji.
 
Msema hovyo....ZAO LA UFISADI!!
Hahhaaa, ni nini ufisadi wa Lowassa mkuu. Hii habari ya mimi zao la ufisadi na blabla nyingine hazitusaidiii. Laiti mngejua siasa za majitaka zinazoendeshwa na Kikwete, katu msingeweza kumsakama Lowassa kiasi hiki. Na hizo alizifanya pia dhidi ya akina Sumaye na Salim wakati anautafuta urais. Kwani ni nani kati yenu ambaye angeambiwa kwamba Sumaye siyo Fisadi ule mwaka 2005 angeamini? Mbona leo hammtaji tena Sumaye kama fisadi? Acheni kutekwa akili na Kikwete na Nape watanzania wenzangu.
 
Mkuu, kujiuzulu ni hulka ya mtu na nia ya kuwajibika kutokana na yanayotokea chini ya usimamizi wake. Mbona Ali Hassan Mwinyi naye alijiuzulu uwaziri wakati wake? Je alikosa nini? Lakini hapohapo geukia watu kama akina Hussein Mwinyi ambapo mabomu ya jeshi yamekuwa yakiua watu wasio na hatia na hajachukua hatua yoyote, unataka kusema hana makosa? Au mwangalie ngeleja. Pamoja na kushindwa kabisa kutatua tatizo la umeme linaloikabili nchi, bado hajaona sababu ya kujiuzulu. Lowassa angeweza angeamua kujikausha. After all, report ya akina Mwakyembe haikumtaja Lowasa moja kwa moja. Kwa hiyo angeweza tu kujikausha asijiuzulu kama ambavyo akina Hussein Mwinyi na Ngeleja walivyojikausha.
kwa nini hakujikausha sasa kama wenzake kina H Mwinyi? una habari kuwa asingejiudhulu nchi isingetawalika tena?

Mimi nashangaa mnaweka blabla nyingi tu juu ya ufisadi wa Lowasa cha ajabu hamsemi ni wapi ambapo paliibiwa na ikabainika kwamba aliyeiba ni Lowassa. Nataka hapo. Nakumbuka hata Nyerere wakati anamkataa Nyerere alimkataa kutokana na utajiri wake. Hakutaja popote kwamba Lowassa ni mla rushwa. Sasa hii habari ya ufisadi mnaoutaja ninyi leo upo wapi? Nataka mseme alichukua hela mahali fulani (kama ambavyo tunataja za Kagoda au za Rada). Lowassa alichukua zipi?
Loawasa ni mwizi .. wewe ulikuwa wapi siku zote hizo wakati tunajadili wizi / usfisadi wa Lowasa?
Kuna kitu hapa nafikiri hamjakielewa kuhusu Nape. Huyu bwana amewekwa ili kumsafishia njia Kikwete. Kwa kuwa Nape alishaonyesha mapema ubavu wa kupingana na Lowassa hadharani, basi Kikwete akamwona ndiye anayefaa katika hiyo shughuli ya kummaliza na kumwangamiza rafiki yake. Kwahiyo Nape anatumika kama vuvuzela la Kikwete kwa ajili ya kupazia sauti ya kuwafukuzia mbali marafiki zake wa zamani. Kutokana na tofauti zao zaz kiuongozi. Remember, Lowassa alikuwa anaonekana kuwa na mamlaka mkubwa kumshinda Kikwete wakati akiwa waziri mkuu, na hii ikawa ni threat kubwa kwa Kikwete, kama ilivyokuwa wakati wa Nyerere na Sokoine.

underlined.. wewe nimekuuliza kuwa unajaribu kumasafisha fisadi Lowasa? angalia ulichonijibu hapa chini then angalia hicho nilichopigia mstari hapo juu.

Saint Ivuga, shida yangu si kumsafisha. Kwanza Lowassa mwenyewe mimi namfahamu kwenye TV na kwenye magazeti tu. Lakini hapa ninachotafuta ni haki. Mbona amesakamwa sana wakati kila nikichunguza sioni tatizo lake ni nini? watu wamekazania Richmond, lakini hakuna direct connection ya Lowassa na Richmond, kama ilivyo kwa Chenge - Rada na Rostam - Kagoda + Dowans. Sasa kwanini Nape anamkomalia sana kwamba ni Fisadi?
 
nafikiri kuna tatizo CCM kuna msemo mmoja wanapenda sana kuutumia nao ni CCM INA WENYEWE NA WENYEWE NDIYO SISI!! naanza kupata maana halisi ya msemo huo kwamba kuna familia fulani fulani hapa Tanzania ndiyo zinamiliki tanzania kwa ufupi chama ni chao wao na watoto wao, akitokea mtu mwingine akaonekana ni strong wanaanza kumtungia uongo wanadai ni fisadi na mabo mengine kwa ufupi mwisho wa siku watanzania sio majuha bwana mtabaki na chama chenu na sisis tutaamua hatma ya nchi yetu kwa KURA.
 
Mkuu, kujiuzulu ni hulka ya mtu na nia ya kuwajibika kutokana na yanayotokea chini ya usimamizi wake. Mbona Ali Hassan Mwinyi naye alijiuzulu uwaziri wakati wake? Je alikosa nini? Lakini hapohapo geukia watu kama akina Hussein Mwinyi ambapo mabomu ya jeshi yamekuwa yakiua watu wasio na hatia na hajachukua hatua yoyote, unataka kusema hana makosa? Au mwangalie ngeleja. Pamoja na kushindwa kabisa kutatua tatizo la umeme linaloikabili nchi, bado hajaona sababu ya kujiuzulu. Lowassa angeweza angeamua kujikausha. After all, report ya akina Mwakyembe haikumtaja Lowasa moja kwa moja. Kwa hiyo angeweza tu kujikausha asijiuzulu kama ambavyo akina Hussein Mwinyi na Ngeleja walivyojikausha.

Mimi nashangaa mnaweka blabla nyingi tu juu ya ufisadi wa Lowasa cha ajabu hamsemi ni wapi ambapo paliibiwa na ikabainika kwamba aliyeiba ni Lowassa. Nataka hapo. Nakumbuka hata Nyerere wakati anamkataa Nyerere alimkataa kutokana na utajiri wake. Hakutaja popote kwamba Lowassa ni mla rushwa. Sasa hii habari ya ufisadi mnaoutaja ninyi leo upo wapi? Nataka mseme alichukua hela mahali fulani (kama ambavyo tunataja za Kagoda au za Rada). Lowassa alichukua zipi?

Kuna kitu hapa nafikiri hamjakielewa kuhusu Nape. Huyu bwana amewekwa ili kumsafishia njia Kikwete. Kwa kuwa Nape alishaonyesha mapema ubavu wa kupingana na Lowassa hadharani, basi Kikwete akamwona ndiye anayefaa katika hiyo shughuli ya kummaliza na kumwangamiza rafiki yake. Kwahiyo Nape anatumika kama vuvuzela la Kikwete kwa ajili ya kupazia sauti ya kuwafukuzia mbali marafiki zake wa zamani. Kutokana na tofauti zao zaz kiuongozi. Remember, Lowassa alikuwa anaonekana kuwa na mamlaka mkubwa kumshinda Kikwete wakati akiwa waziri mkuu, na hii ikawa ni threat kubwa kwa Kikwete, kama ilivyokuwa wakati wa Nyerere na Sokoine.

Ina maana KIFO cha Moringe Nyerere anahusika?
 
kwa nini hakujikausha sasa kama wenzake kina H Mwinyi? una habari kuwa asingejiudhulu nchi isingetawalika tena?


Loawasa ni mwizi .. wewe ulikuwa wapi siku zote hizo wakati tunajadili wizi / usfisadi wa Lowasa?


underlined.. wewe nimekuuliza kuwa unajaribu kumasafisha fisadi Lowasa? angalia ulichonijibu hapa chini then angalia hicho nilichopigia mstari hapo juu.
paragraph uliyounderline inaijustify ya chini uliyouliza nimejibu nini? I mean Lowassa anasakamwa kutokana na kuwa threat kwenye uongozi wa Kikwete na si kwa sababu ni fisadi. Na huyo Nape ni vuvuzela wa kumfukuzia mbali mchawi wa Kikwete kwenye uongozi wake.
 
alikuwa jela .. ndio katoka juzi juzi
hahahaa, nikopie link za huo ufisadi wa Lowassa. Si unajua mim ndo nimejiunga juzi tu hapa JF, baada ya Ngeleja kunikera na mgao wa umeme? Na hapo ndipo nikamkumbuka kamanda Lowassa kwamba alikuwa ni mtendaji wa kweli. Enzi zake tungeshapata suluhu ya tatizo la umeme. Alikuwa tayari hata kununua mvua, unafanya mchezo???!!!!!
 
paragraph uliyounderline inaijustify ya chini uliyouliza nimejibu nini? I mean Lowassa anasakamwa kutokana na kuwa threat kwenye uongozi wa Kikwete na si kwa sababu ni fisadi. Na huyo Nape ni vuvuzela wa kumfukuzia mbali mchawi wa Kikwete kwenye uongozi wake.
R aziz, chenge nao wanaandamwa na nini? hivi unajua ile list of shame?list ya maffisadi unaijua? nenda kwenye website ya chadema utawakuta kule mafisadi wote.na hakuna hata mmoja aliyekwenda mahakamani kusema kuwa alichafuliwa jina lake.
 
R aziz, chenge nao wanaandamwa na nini? hivi unajua ile list of shame?list ya maffisadi unaijua? nenda kwenye website ya chadema utawakuta kule mafisadi wote.na hakuna hata mmoja aliyekwenda mahakamani kusema kuwa alichafuliwa jina lake.
Ukisoma vizuri kule mwanzo utaelewa kwamba nimeleta ushahidi wa ufisadi wa Rostam na ule wa Chenge. Shida imebaki huu wa Lowassa. Hiyo list of shame ya Slaa, jina la Lowassa limo lakini inasema alifanya nini. Kikubwa nilichoona katika list ile ni suala la Lowassa kujikusanyia mali kwa njia zisizo halali. Lakini hawasemi njia zipi! Suala la kwenda mahakamani na lenyewe linategemeana na nafasi ya mtu. Sumaye alisakamwa sana akiwa waziri mkuu lakini hakuwahi kwenda mahakamani. hadi pale alipoacha uwaziri, ndipo alipoanza kulifungulia kesi kila gazeti lililomuandika vibaya. Na hakuna tena gazeti linaloandika Sumaye ni fisadi. kama yaliyokuwa yanaandikwa yalikuwa na ukweli kwanini hayaendelei kuandikwa?
 
Suala la LOWASA kujiuzulu u PM wake ilikuwa uwajibikaji kwa makosa ya walio chini yake... To me EL is millions away better than JK. So far what has he said about country total Blackout??? NOTHING!!! Absolutely NOTHING!!! But am sure kama EL angekuwa ndo PM then lazima kungekuwa na jambo la haraka la kupunguza mgao huu...!!! he is ACTION TAKER... Thus why aliwaambia Viongozi wachukue uamuzi mgumu wao wakamjibu POLITICALLY... They didn't get EL concept....

Kilichobaki ni kumuita FISADI pasi na kuthibitisha ufisadi wake... YES mshikaji wake RA kapiga PESA mingi sana katika dealz kibao... Kama walikua wote then ITS EL, RA and JK who knows deep inside what happened!! But so far namuona LOWASA kama mkombozi wa hali tuliyonayo... For now nchi hii inahitaji DICTATOR kind of leader ambaye anaweza weka mambo kwenye mstari... Mfano mdogo ni RWANDA... Coming few months wataanza safari za CHINA to KIGALI (RWANDA AIRLINES) via NRB and DSM later at the same time wanaijenga KIGALI everyday.... That is KAGEMA ambae kwa nyumbani hapa namfananisha na LOWASA....
 
Suala la LOWASA kujiuzulu u PM wake ilikuwa uwajibikaji kwa makosa ya walio chini yake... To me EL is millions away better than JK. So far what has he said about country total Blackout??? NOTHING!!! Absolutely NOTHING!!! But am sure kama EL angekuwa ndo PM then lazima kungekuwa na jambo la haraka la kupunguza mgao huu...!!! he is ACTION TAKER... Thus why aliwaambia Viongozi wachukue uamuzi mgumu wao wakamjibu POLITICALLY... They didn't get EL concept....

Kilichobaki ni kumuita FISADI pasi na kuthibitisha ufisadi wake... YES mshikaji wake RA kapiga PESA mingi sana katika dealz kibao... Kama walikua wote then ITS EL, RA and JK who knows deep inside what happened!! But so far namuona LOWASA kama mkombozi wa hali tuliyonayo... For now nchi hii inahitaji DICTATOR kind of leader ambaye anaweza weka mambo kwenye mstari... Mfano mdogo ni RWANDA... Coming few months wataanza safari za CHINA to KIGALI (RWANDA AIRLINES) via NRB and DSM later at the same time wanaijenga KIGALI everyday.... That is KAGEMA ambae kwa nyumbani hapa namfananisha na LOWASA....
Well said mkuu. Kuna watu hawapendi kabisa kuambiwa ukweli huu. To me Lowassa ni mfano wa kuigwa. Utendaji na uwajibikaji wake ndio uliomponza Lowassa. Maana alikuwa anakwenda kwa kasi kubwa kuliko ile inayokubaliwa ndani ya chama cha magamba.
 
Back
Top Bottom