Nilikua na struggle mzee, biashara unaleta mzigo unauza kwa kukopesha kwa jumla kwenye maduka.
Wanalipa kidogo hata kama mzigo ameuza wote.
Faida hauioni. Hizi item uzuri wake ukiwa nayo unayo. Ukiuza umeuza unasubiri cash.
Mwanangu R. Aliniambia kuna bidhaa flani dili sana, kuna siku tulikua dubai akaniambia walijaribu tafuta kiwanda wakapata ila wanatengeneza kwa oda.
Nikaweka akilini hiyo.
Siku moja nikaona video mtu amepost anauza katika soko letu.
Nikaingia alibaba nika search jina la hiyo product nikakutana...
Hii ilitokea dukani mke wangu ndio alikua anahudumia. Kuna 1m nilikua nayo kwenye simu nikasema ngoja nitoe then nikifika town nimpe namba ya wakala mwingine aitoe.
N:B mke alikua mgeni kwenye uwakala nilijua atapigwa tu ili apate akili so nilikua naacha mtaji less than 400k, siku hiyo bana...
Nina rafiki alitakaga JBL speaker 2.1
Nikamuagiziaga Dubai.
Hapo Tukatuma 494,000
Then Hela ikafika kwa supplier aka delivery kwa Ajent wangu Kilimanjaro Star Cargo
Mzigo ukafika after 3 weeks
Nikalipia kama 170,000
So total hadi unafika was 664,000
Mal 3:10-12 SUV
Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.