Nachukizwa sana na viongozi wetu Africa. Ni wanafiki sana, hawana misimamo, wanauza uhuru kwa maslahi binafsi. Tumeona haya kwa Mugabe na sasa Gadafi. Congo wamarekani wanashabikia vita huku wakiiba utajiri wa wananchi wake. Libya kwa kutumia branketi la demakrasia wanaisambaratisha nchi, watu...