Wana JF habarini.
Napata maumivu makali ya kiuno hasa ninapotembea au kusimama kwa muda mrefu na pia nina tatizo la mguu mmoja huwa kama natembelewa na wadudu kwa ndani/kufa ganzi hasa wakati wa usiku na pia asubuhi ninapoamka.
Ni tatizo ambalo nimekuwa nalo kwa muda wa miezi kama miwili na nusu sasa.
Nimepiga xray na kufanya kipimo cha mkojo lakini hapajaonekana tatizo lolote. Ni mfanyaji mazoezi mzuri (kucheza mpira wa miguu) ila sijawahi kuumia mazoezini.
Msaada tafadhali.
Napata maumivu makali ya kiuno hasa ninapotembea au kusimama kwa muda mrefu na pia nina tatizo la mguu mmoja huwa kama natembelewa na wadudu kwa ndani/kufa ganzi hasa wakati wa usiku na pia asubuhi ninapoamka.
Ni tatizo ambalo nimekuwa nalo kwa muda wa miezi kama miwili na nusu sasa.
Nimepiga xray na kufanya kipimo cha mkojo lakini hapajaonekana tatizo lolote. Ni mfanyaji mazoezi mzuri (kucheza mpira wa miguu) ila sijawahi kuumia mazoezini.
Msaada tafadhali.