ha ha ha ha wabongo kwa majungu,,,,,,hatuna wa kutushinda,
nakubaliana 100% na mutekanga. We have to address issues and not personalities. Kwa hakika huyu dada anastahili pongezi. Mengi tukijadili kwa mfumo huu, tunaweza kufanikiwa kuleta chachu ya mabadiliko katika taifa letu. Tutangulize maslahi ya taifa, na hasa wanyonge mbele kwa kila tulisemalo, au kwa kila tulitendalo. Mungu ibariki tanzania.
Yaani baadhi ya tabia za wanaume wa humu JF ni balaa, hadi huwa najiuliza hivi hawa kweli ni wanaume au? Maana kwa vijembe huwawezi, majungu + mipasho ndio usiseme. Yaani wana gubu kwenda mbele. Ila nadhani ndio uhuru tena wa kutoa maoni .Kibaya zaidi ni wanaume ndo wanaogonza agrrrrrrrrrrrr
ambapo sielewi zaidi ni hapo mara kakonda, mara yupo hivi na vilee.....haeleweki point yake ni nini haswa.
lakini kungelikuwa na awards za watu wanaojitolea haswa kukuza vipaji vya vijana, ningempigia kura Ritta.