Recent content by Mtambwe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa kila kitu ni Zanzibar tu, hata mechi kubwa za Simba na Yanga zinapelekwa Zanzibar

    Kwani Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania? Hata Magufuli aliweka Ikulu ndogo Chato na akajenga Uwanja wa ndege chato, jee aliondoka nao?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    Mnalipa nyiynyi ki vipi? Kama ni Kodi TRA Wanakusanya kama kawaida zanzibar, Mahoteli yote ya Kitalii Zanzibar wakusanyaji Kodi ni wao. Sasa hizi kodi zetu miunazipeleka wapi?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    Wewe unajua BOT ililianzishwaje? sasa nakuueleza. Wakati wa East Africa Community Zanzibar ilikuwa mwanchama na Tanganyika Pia. Wakati ilipovunjika ndipo ulipoanzishwa Muungano. Pesa zilizokuwepo kwenye Benki ya East Afrika ziligawiwa kwa wanachama wote na Zanziba ilipata zake na Tanganyika...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    Pascal umesema kweli, lakini hili tatizo mumelisababisha nyinyi. Ifufueni Tanganyika yenu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    Tuseme Sawa Zanziba inapewa mao wa 4,5%, lakini katika Kuanzishwa Benki yenyewe (BOT) Zanzibar ilitowa Hisa ya 22% ni nyaraka zipo. Sasa Nania anyenyonwa?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    Sasa kama hayo unayosema ni ya kweli, kwanza ifufuke hio Tanganyika. Halafu tuweke wazi matumizi na Mapato ya Muungano, ya Zanzibar na Ya Tanganyika ni yepi. Hapo ndio utajuilikana ukweli
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    Ilipoanzishwa BOT - Pesa za Zanzibar zilizokuweko East Africa Community zilichukuliwa zikaanzishiwa hio BOT na Mpaka leo Zanzibar haipati mgawo wowote kutoka BOT- Nafikiri tungelianzia hapo na Tukaweka wazi kati ya Zanzibar na Tanganyika share zilikuwaje?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

    Sisi tuko Kimya, tunajua kutokana na hali ilivyofikia nyinyi ndio mutakaouvunja Muungano
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mafua yanayosababisha maumivu ya mwili: Hali ipoje huko kwenu?

    Hio ni Corona
  10. M

    JamiiForums Tanzania 2021 AFCON Special Thread

    Nani anawakilisha Afrika mashariki?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Autocad : Autocad :kwa Civil Engineers karibuni tujadili

    Kwanza Civil Engineer yeye hatakiwi kuchora, Mchoraji ni Profession mbali, Kama Engineer unatakiwa ujuwe AutoCad, kwani Software nyingi za kuesign siku unaweza kuchukuwa infomation nyingi direct kutoka kwenye Autocad. Siku hizi kuna BIM . Model inakuwa Moja, lakini Archtecture, Engineer...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Experience kwa ambae amewahi ishi na demu wa kizungu

    Wazungu ni sawa na Waswahili kila mmoja na tabia zake, inategemea na huyo mwanamkewako ana Tabia gani. Utakavyomuhandle Gongo movie star, ni tofauti na mwankhe kutoka kijijini
  13. M

    JamiiForums Tanzania Suala la ardhi halimo kwenye Muungano, Zanzibar wapo makini kulinda ardhi yao lakini wametuzidi akili kuimiliki ardhi ya bara

    Tatizo liko Palepale, nyinyi kuiuwa Tanganyika yene kiujanja na nyinyi kujifanya ndio Tanzania, Kutokana na katiba ya Tanzania , Mzanzibari anayo haki ya kumiliki ardhi Tanzania Bara, kwani na yeye ni Mtanzania. Lakini mtanzania Bara (mTanganyika) yeye hawezi kumiliki Zanzibar kwani yeye sio...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini viongozi pamoja na mishahara mizuri bado wanapewa nyumba na magari?

    Nchi zote haziko hivyo, tuchukulie Ujerumani ambao kwa Pato wanatupita kwa kila kitu, mbunge analipwa 10,012.89 Euro kwa mwezi na Kanzela analipwa 351,552 Euro kwa mwaka ambayo ni sawa na29,296€ kwa mwezi. Hawa wote wanalipa nyumba kwa Pesa Zao, gari wanayotupia wanapewa leasing, maana yake...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mnielimishe: Ni kitu gani haswa Nyerere alikitaka kwenye Muungano, maana nachoona tunapigwa wazi wazi

    Muulize Lukuvi atakujibu, alikwishalisema hilo kanisani
Back
Top Bottom