ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,557
- 44,735
Aisee haya mafua ya siku hizi kwani je?
Leo nimeamka staff wenzangu wote na majirani zangu wanaumwa mafua sio mafua kuchoka sana na viungo kuuma. Hali ipoje kwa huko kwenu?
Leo nimeamka staff wenzangu wote na majirani zangu wanaumwa mafua sio mafua kuchoka sana na viungo kuuma. Hali ipoje kwa huko kwenu?