Recent content by mtabe kila sekta 2009

  1. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Unamaanisha kuwa ulipeleka documents zote znazohtajika mwez huu,na mwez huu umeingiziwa mzgo?
  2. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Yah taarifa zote muhimu tulishawasilisha,km vyeti,bank account, T.I.N number na vingnevyo
  3. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Sema 2 mkuu😅😅😅
  4. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wakuu,nna suala kidogo mwenye uelewa anisaidie. Nimechaguliwa kwenye ajira taasisi X na tumeshapeleka barua za utambulisho kwa mwajiri zaid ya wiki mbili zilizopita tunasubiri kupangiwa vituo vya kazi.Je kwa kipindi hiki ninaweza kuhesabiwa km mwajiriwa na kuingiziwa maokoto mwisho wa mwezi au...
  5. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kupitia diploma mkuu nlomaliza mwaka jana,ila nlmaliza degree tngu 2014,so vumbi la kitaa nalielewa.
  6. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Diploma mkuu
  7. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mungu ni mwema mkuu,Shukran muhimu sana km ulivyosema
  8. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hpn,mkuu! Nmekaa mtaani tngu 2014 nlpomaliza Bachelor degree yangu. Hii habari ya chuo nnayozungumzia ni kwamba kuna diploma nyingne ndo nlisoma 2020-2022,ndo nkapata kulamba asali...ila nlisota 2014-202
  9. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hpn,mkuu! Nmekaa mtaani tngu 2014 nlpomaliza Bachelor degree yangu. Hii habari ya chuo nnayozungumzia ni kwamba kuna diploma nyingne ndo nlisoma 2020-2022,ndo nkapata kulamba asali...ila nlisota 2014-2020
  10. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wakuu habari,kuna ushuhuda hapa...hatimaye kwenye PDF la jana,na mimi nimefanikiwa kulamba asali katika moja ya mashirika ya usafirishaji nchini,yaan nmelala jobless nkaamkia asalini. Nmemaliza chuo mwaka Jana, post yetu ya ajira imetoka mwez wa 3 mwaka huu,nmfanya written kwa mara ya kwanza...
  11. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Bdo mkuu,vp na ww uliomba nn?
  12. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wakuu,masada tafadhali kwa waliowahi kufanya usaili wa kada ya Station Master, Shirika Reli (TRC) ni aina gani ya maswali huwa kuna uwezekano wa kutoka...Naomba nipate mwanga tafadhali! Thanks in advance
  13. mtabe kila sekta 2009

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Asante mkuu, vp na ww ulikua miongoni mwa applicants?
Back
Top Bottom