Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Wakuu,nna suala kidogo mwenye uelewa anisaidie. Nimechaguliwa kwenye ajira taasisi X na tumeshapeleka barua za utambulisho kwa mwajiri zaid ya wiki mbili zilizopita tunasubiri kupangiwa vituo vya kazi.Je kwa kipindi hiki ninaweza kuhesabiwa km mwajiriwa na kuingiziwa maokoto mwisho wa mwezi au ndo mpaka pale nitakapopangiwa kituo cha kazi?Utaratibu ukoje kwa anayefahamu please![emoji120]
Bila shaka mshawasilisha na nyaraka zote zinazohitajika....

Wewe tayari ni mtumishi, kama mwajiri atawasilisha taarifa zako mapema zikiwa sahihi sehemu husika ikiwemo HAZINA, subiri maokoto yako mwisho wa mwezi.
 
BOT, Hazina salary kawaida ila hela za hapa na pale nyingi. Mimi naona kwa serikalini ukitaja giant wa salary
1. CSMA
2. TCRA
3. eGA
4. NIMR
Hawa nafikiri hakuna taasisi yeyote inaowafikia kwa Salary ghafi. Hii ni kwa utafiti wangu mdogo

Yani kwa sababu hakuna TPDC hapa, hii orodha haifai. Niamini mimi kaka.
Screenshot (108).png
 
BOT, Hazina salary kawaida ila hela za hapa na pale nyingi. Mimi naona kwa serikalini ukitaja giant wa salary
1. CSMA
2. TCRA
3. eGA
4. NIMR
Hawa nafikiri hakuna taasisi yeyote inaowafikia kwa Salary ghafi. Hii ni kwa utafiti wangu mdogo
BOT wana mshahara mrefu kuliko wote uliowataja. Hazina wanatumia TGS ila marupurupu ni mengi sana
 
Wakuu,nna suala kidogo mwenye uelewa anisaidie. Nimechaguliwa kwenye ajira taasisi X na tumeshapeleka barua za utambulisho kwa mwajiri zaid ya wiki mbili zilizopita tunasubiri kupangiwa vituo vya kazi.Je kwa kipindi hiki ninaweza kuhesabiwa km mwajiriwa na kuingiziwa maokoto mwisho wa mwezi au ndo mpaka pale nitakapopangiwa kituo cha kazi?Utaratibu ukoje kwa anayefahamu please!🙏
Inategemea na ulipoajiriwa, binafsi mm nmepata mshahara wa mwez huu na kaz Bado sijaanza,na mchakato wa ajira umefanyika mwez huuhuu, na nmeomba ruhusa ya wiki2, nikapewa.
 
nina mwnangu yupo katika mojawapo ya hizo mbili ulizosema hazina maajabu, haloo sikia tu kwa mtu mwamba yuko njema vibaya na halingi.
Kuwa njema kunategemea mambo mengi sio salary tu. Mimi naongelea mshahara ghafi yani weka niweke hao miamba wanakimbiza taasisi zote. Ila ukiongelea fursa basi basi TRA hasa Custom na Tax wako njema
 
Back
Top Bottom