makofia 360Mkuu usitutenge aysee tunafarijika sana na uwepo wakoo.
Utakula asali mkuu amini kwamba na utakuja niambia endelea kumuamini mungu wakati wake ndiyo wakati sahihi psrs mambo yapo 🤙makofia 360
Watakwambia hawana.nauliHongereni sana mliolamba asali tafadhari msichelewe kufika masijala fika kwa wakati ili kuondoa msongamano pale na kutoa nafasi kwa watumishi wapya ambao wanasubiri bandiko zao nao wapate update zao kwa wakati
🙏Wadau wote nadhani mko njema kikubwa kilichopo PSRS kwa sasa ni database na kuna uwezekano hata baadhi ya taasisi ambazo tayari zina received wakachukua database hasa wale ambao wana chance chache chache,,,pia kuna taasisi tamu mno yani tamu mno kuna watu hawatamini! Kwahiyo muendelee kuwa na imani na psrs
Hili la taasisi tamu unamaanisha mtumishi makofia360Wadau wote nadhani mko njema kikubwa kilichopo PSRS kwa sasa ni database na kuna uwezekano hata baadhi ya taasisi ambazo tayari zina received wakachukua database hasa wale ambao wana chance chache chache,,,pia kuna taasisi tamu mno yani tamu mno kuna watu hawatamini! Kwahiyo muendelee kuwa na imani na psrs
Wengine tuko BOT dsm,now tunasubiri kuanza uptitude test,dua zenu wakuu🙏Hili la taasisi tamu unamaanisha mtumishi makofia360
Kila la heri,Wengine tuko BOT dsm,now tunasubiri kuanza uptitude test,dua zenu wakuu🙏
Kila la heri Mkuu hapo pana Asali ya Nyuki wadogo iliyochujwa vizurii.Wengine tuko BOT dsm,now tunasubiri kuanza uptitude test,dua zenu wakuu🙏
Hahahaha ndio kwanza anawasha Computer 🖥️ hapa.IT karibu chai..!!
Kunani mkuu?Habari Kuna watu waliofanya sahili TAnroads last, kada ya ICT
Pdf is loading............Habari Kuna watu waliofanya sahili TAnroads last, kada ya ICT
Pdf is loading...........IT karibu chai..!!
Duh si juzi t mkuu mbona mapema sanaaPdf is loading............
BOT, Hazina salary kawaida ila hela za hapa na pale nyingi. Mimi naona kwa serikalini ukitaja giant wa salaryKila la heri Mkuu hapo pana Asali ya Nyuki wadogo iliyochujwa vizurii.
nina mwnangu yupo katika mojawapo ya hizo mbili ulizosema hazina maajabu, haloo sikia tu kwa mtu mwamba yuko njema vibaya na halingi.BOT, Hazina salary kawaida ila hela za hapa na pale nyingi. Mimi naona kwa serikalini ukitaja giant wa salary
1. CSMA
2. TCRA
3. eGA
4. NIMR
Hawa nafikiri hakuna taasisi yeyote inaowafikia kwa Salary ghafi. Hii ni kwa utafiti wangu mdogo
Sema 2 mkuu😅😅😅Duuhh kumbe wewe ni legend, huo mwaka sitaki kusema niikuwa wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]