Napenda ifahamike kwamba kwa uzi huu sitanii na wala sina nia ya kujifurahisha bali kueleza haja yangu kwa mwanamke wa maisha yangu ambaye naamini yupo humu.
Natambua kuna mwanamke ambaye naye kama ilivyo kwangu anahitaji mtu kwa ajili ya kujenga naye familia hivyo jukwaa hili lipo kama sehemu...
Kumbe tupo wengi.
Ilinitokea Jumamosi na Jumapili ambapo nilinunua kifurushi cha internet cha siku lakini kikawa kinakatika ndani ya muda mfupi sana.
Kila nilipopiga simu huduma kwa wateja na kuchagua kuongea na mtoa huduma simu ilikatika. Jana asubuhi nilipiga tena nilipoasikia "for Swahili...
Kitendo cha kutembea na mdada na kumwacha si uungwana lakini huwa si vyema kulaumu pasipo kupata maelezo kutoka upande wa pili ili kujua ilikuwaje hadi amkimbie mdada wa watu mara tu baada ya kula tunda.
Kuna wadada tangu unamfukuzia hadi uhusiano unapoanza anakuweka katika hali ambayo unaona...
Simshauri kufanya hivyo. Niliwahi kufanya hivyo lakini mwaka uliofuata nilipoenda chuoni sikupata mkopo na nilienda sana ofisi za Bodi ya Mkopo kushughulikia hilo suala hata hivyo sikufanikiwa. Baadae ikabidi niombe upya mkopo.
Labda aende ofisi za Bodi ya Mkopo wampe uhakika wa nini afanye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.