Hiyo ya Kissinger ndo imenigusa zaidi.Nafkiri kati ya nchi ambazo hazifai mtu ukachukua ajira ya jeshi ni USA ,mana any time you will be in trouble.
War,war,war
Kaka mshana hii kitu nshawahi kui activate.Please kaka hii ilmu usiitoe ishia hapo hapo.Nlipata shida mimi.Yan ukimcheki mtu hv waona jana yake...hata kesho na siku zinazofata kwake.
Viumbe visivoonekana na viona live(utaniuliza najuaje kwamba havionekani,lkn mda mda huo mtu uko very hyper...
Mleta mada una point ambazo si zakupuuzwa kamwe.
Hata ivo muheshimiwa Rais sidhani kwamba Ilikuwa ni vema kwa yeye kusema kinaga ubaga kwamba nimejifunza hiki na hiki...
Mambo mengine niyakufanya kimya kimya tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.