LAZIMA NISEME
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 240
- 267
TAKUKURU, TRA mko wapi? Swala la Luku ni moja tu angalieni Selcom na Azam wanavyoifanyia serikali yetu bila aibu, katika malipo ya vighamuzi kunaukwepaji kodi wa kutisha uchunguzi wa siri ndani ya ofisi za Azam huu hapa
============
Selcom imeshirikiana na Azam Play TV kukusanya, kisha kukwepa kupeleka kodi (VAT) kwenda TRA ya zaidi ya Bilioni 181,44,000.000/=.
Kwa muda wa mwaka mmoja sasa kampuni ya Azam Pay TV (kampuni mtoto ya Azam Media LTD) imekuwa ikiendesha biashara ya kuuza maudhui (Channel) ya AZAM TV bila kulipa hata thumni ya Kodi.
Kwa uchunguzi tuliofanya tumegundua kwamba kampuni ya Azam Play TV ni kampuni mtoto ya Azam Media LTD Iliyosajiliwa Nchini Mauritius
na inafanya biashara hapa nchini bila Kuwakilisha kodi (VAT) inayokusanya TRA, licha ya wananchi kuilipa na VAT.
Tazama Hii Video ya SIRI
Mnamo tarehe 20 June 2015 taarifa za ongezeko la gharama za maudhui (Channels) zilisambaa kwa wateja wake kwamba wameongeza bei ya kila mwezi kutokana na serekali kuongeza Kodi /VAT, na Kuporomoka kwa Shilingi Tanzania, Huu ni Ujumbe mfupi wa simu ya mkononi [SMS]
ulizosambazwa na Kampuni ya Azam Media LTD
“Ndugu mteja, kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya Mwezi na ongezeko la thamani ya pesa za kigeni, inatubidi tuongeze bei ya vifurushi.
Hivyobasi kuanzia tarehe 1Julai 2015, malipo ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo: Azam Pure itakuwa 12,000,
Azam Plus 20,000, Azam Play 30,000. (nimembatanisha ujumbe wa SMS uliotumwa toka Azam Tv kwenda kwa wateja).
Juu: Ni ujumbe wa SMS uliotumwa kwenda kwa wateja kuwajulisha kwamba kutakuwa na malipo ya VAT kila mwezi tokea Julai 1, 2015)
Kwa uchunguzi wa kiinteligensia tuliofanya tumegundua kwamba kampuni ya Azam Media LTD inafanya utapeli mkubwa hapa nchini kwa njia zifuatazo:-
1. Kampuni ya Azam Media LTD inakampuni mtoto inayoitwa Azam Play TV (APT) ambayo haijasajiliwa hapa nchini Tanzania ila inafanya kazi hapa nchini.
(i) Kampuni ya Azam Media LTD inajishughulisha na kuuza Dishi, Decorder (kisimbuzi) na LNB pekee yake kwa thamani ya Sh 135,000/= pamoja na VAT. Mara moja tu.
(ii) Kitendo cha kuitumia kampuni ya Azam Play TV iliyosajiliwa nchini Mauritius ni kwa ajili ya kukwepa kulipa VAT ya gharama za kila mwezi ambazo ni pesa nyingi kwani hulipwa kila mwezi kwa wastani wa shilingi
28,000 x 12 = 336,000/=
ambapo 18% VAT ni Sh 60,480/= Kwa mtu mmoja kwa mwaka.
Mapaka sasa Azam Tv wana zaidi ya wateja milioni tatu Tanzania peke yake, kwa hesabu rahisi ni kwamba, (wateja 3,000,000x VAT ya sh60,480 = Bil181,440,000.000/=) Kwa hiyo kwa mwaka jana peke yake. Kwa hiyo wamekusanya Bilioni 181,44,000.000/=
2. Kampuni ya Azam Media LTD ilipandisha gharama za kila mwezi kwa madai kwamba ni kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya Mwezi. Sasa Jambo la kujiuliza ni -
Je Hizo gharama za VAT kwenye malipo ya mwezi zinapelekwa wapi?
Tulipo fuatilia risiti zinazotolewa na kampuni ya Selcom na Azam Play TV kwa ajili ya malipo ya mwezi, tumegundua kwamba VAT ya 18%
haionyeshwi kwenye risiti kama walivyo dai kwenye ujumbe wao wa SMS. (Nimeambatanisha risiti ya AZAM PLAT TV na Selcom)
Juu: Ni Risiti (NO.5386..) inayotolewa na kampuni ya Selcom / AZAM PLAY TV (***APT***) KWA AJILI YA MALIPO YA KILA MWEZI. Haionyeshi kulipwa kwa VAT
Juu: Risiti inayotolewa na AZAM PLAY TV (***APT***) KWA AJILI YA MALIPO YA KILA MWEZI. Haionyeshi kulipwa kwa VAT .
Juu: Ni risiti inayotolewa na kampuni ya AZAM MEDIA LTD kwa ajili ya malipo ya kila mwezi (Miezi mitatu)
Ni wazi kwamba kampuni ya Azam Media LTD ikishirikiana na kampuni ya Azam Play TV hawajawahi kulipa kodi ya ongezeko la thamani kutokana na malipo ya mwezi (VAT) licha ya kuikusanya toka kwa wananchi kila mwezi. (Kama walivyo waambia wananchi kuwa wanaongeza bei ya kulipia kila mwezi kwa sababu wametakiwa walipe kodi VAT)
Tunatoa wito kwa TAKUKURU kuchunguza kampuni hizi na kuiwezesha TRA kukusanya mapato yanayostahili kutoka kampuni ya Azam Media LTD /Azam Play TV.
HITIMISHO;
Kwa makadirio, Kati ya tarehe 01Julai2015 mpaka tarehe 01Julai2016 Wamewatoza watanzania na wamelimbikiza VAT ya zaidi ya Bilioni 181,44,000.000/=.
Tunataka AZAM MEDIA LTD Wailipe TRA pesa zetu.
============
Selcom imeshirikiana na Azam Play TV kukusanya, kisha kukwepa kupeleka kodi (VAT) kwenda TRA ya zaidi ya Bilioni 181,44,000.000/=.
Kwa muda wa mwaka mmoja sasa kampuni ya Azam Pay TV (kampuni mtoto ya Azam Media LTD) imekuwa ikiendesha biashara ya kuuza maudhui (Channel) ya AZAM TV bila kulipa hata thumni ya Kodi.
Kwa uchunguzi tuliofanya tumegundua kwamba kampuni ya Azam Play TV ni kampuni mtoto ya Azam Media LTD Iliyosajiliwa Nchini Mauritius
na inafanya biashara hapa nchini bila Kuwakilisha kodi (VAT) inayokusanya TRA, licha ya wananchi kuilipa na VAT.
Tazama Hii Video ya SIRI
Mnamo tarehe 20 June 2015 taarifa za ongezeko la gharama za maudhui (Channels) zilisambaa kwa wateja wake kwamba wameongeza bei ya kila mwezi kutokana na serekali kuongeza Kodi /VAT, na Kuporomoka kwa Shilingi Tanzania, Huu ni Ujumbe mfupi wa simu ya mkononi [SMS]
ulizosambazwa na Kampuni ya Azam Media LTD
“Ndugu mteja, kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya Mwezi na ongezeko la thamani ya pesa za kigeni, inatubidi tuongeze bei ya vifurushi.
Hivyobasi kuanzia tarehe 1Julai 2015, malipo ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo: Azam Pure itakuwa 12,000,
Azam Plus 20,000, Azam Play 30,000. (nimembatanisha ujumbe wa SMS uliotumwa toka Azam Tv kwenda kwa wateja).
Juu: Ni ujumbe wa SMS uliotumwa kwenda kwa wateja kuwajulisha kwamba kutakuwa na malipo ya VAT kila mwezi tokea Julai 1, 2015)
Kwa uchunguzi wa kiinteligensia tuliofanya tumegundua kwamba kampuni ya Azam Media LTD inafanya utapeli mkubwa hapa nchini kwa njia zifuatazo:-
1. Kampuni ya Azam Media LTD inakampuni mtoto inayoitwa Azam Play TV (APT) ambayo haijasajiliwa hapa nchini Tanzania ila inafanya kazi hapa nchini.
(i) Kampuni ya Azam Media LTD inajishughulisha na kuuza Dishi, Decorder (kisimbuzi) na LNB pekee yake kwa thamani ya Sh 135,000/= pamoja na VAT. Mara moja tu.
(ii) Kitendo cha kuitumia kampuni ya Azam Play TV iliyosajiliwa nchini Mauritius ni kwa ajili ya kukwepa kulipa VAT ya gharama za kila mwezi ambazo ni pesa nyingi kwani hulipwa kila mwezi kwa wastani wa shilingi
28,000 x 12 = 336,000/=
ambapo 18% VAT ni Sh 60,480/= Kwa mtu mmoja kwa mwaka.
Mapaka sasa Azam Tv wana zaidi ya wateja milioni tatu Tanzania peke yake, kwa hesabu rahisi ni kwamba, (wateja 3,000,000x VAT ya sh60,480 = Bil181,440,000.000/=) Kwa hiyo kwa mwaka jana peke yake. Kwa hiyo wamekusanya Bilioni 181,44,000.000/=
2. Kampuni ya Azam Media LTD ilipandisha gharama za kila mwezi kwa madai kwamba ni kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya Mwezi. Sasa Jambo la kujiuliza ni -
Je Hizo gharama za VAT kwenye malipo ya mwezi zinapelekwa wapi?
Tulipo fuatilia risiti zinazotolewa na kampuni ya Selcom na Azam Play TV kwa ajili ya malipo ya mwezi, tumegundua kwamba VAT ya 18%
haionyeshwi kwenye risiti kama walivyo dai kwenye ujumbe wao wa SMS. (Nimeambatanisha risiti ya AZAM PLAT TV na Selcom)
Juu: Ni Risiti (NO.5386..) inayotolewa na kampuni ya Selcom / AZAM PLAY TV (***APT***) KWA AJILI YA MALIPO YA KILA MWEZI. Haionyeshi kulipwa kwa VAT
Juu: Risiti inayotolewa na AZAM PLAY TV (***APT***) KWA AJILI YA MALIPO YA KILA MWEZI. Haionyeshi kulipwa kwa VAT .
Juu: Ni risiti inayotolewa na kampuni ya AZAM MEDIA LTD kwa ajili ya malipo ya kila mwezi (Miezi mitatu)
Ni wazi kwamba kampuni ya Azam Media LTD ikishirikiana na kampuni ya Azam Play TV hawajawahi kulipa kodi ya ongezeko la thamani kutokana na malipo ya mwezi (VAT) licha ya kuikusanya toka kwa wananchi kila mwezi. (Kama walivyo waambia wananchi kuwa wanaongeza bei ya kulipia kila mwezi kwa sababu wametakiwa walipe kodi VAT)
Tunatoa wito kwa TAKUKURU kuchunguza kampuni hizi na kuiwezesha TRA kukusanya mapato yanayostahili kutoka kampuni ya Azam Media LTD /Azam Play TV.
HITIMISHO;
Kwa makadirio, Kati ya tarehe 01Julai2015 mpaka tarehe 01Julai2016 Wamewatoza watanzania na wamelimbikiza VAT ya zaidi ya Bilioni 181,44,000.000/=.
Tunataka AZAM MEDIA LTD Wailipe TRA pesa zetu.