darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,283
- 18,349
Gazeti la Sundaystandard la Botswana limemlaumu Rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki kuwa nyuma ya kushindwa kwa Mgombea wake Pelonomi Venson-Moitoi katika uenyekiti wa AU.
Gazeti linaamini kwamba Mbeki ambaye alitumia jitihada kubwa wakati wa utawala wake kuijenga AU ndio 'masterminder' wa kumuingiza JK kama mwenyekiti wa AU kwa kigezo cha kuwa ndiye mgombea mwenye hadhi na linashuku kuwa Mbeki ndiye mzizi wa fitina wa Matatifa ya Afrika Magharibi kukacha kupiga kura ili kuruhusu JK aingie na tayari ameshamkabili JK kumshawishi kugombea.
Gazeti hilo pia limelaumu maamuzi ya Rais wa Botswana kutohudhuria vikao vya AU na na vikao vyengine kama kile alichoitisha Obama kwa viongozi wa Afrika.Gazeti limemshauri Pelonomi Venson-Moitoi kujitoa kwani tayari kwani Rais mstaafu JK anatoka toka taifa lenye ushawishi mkubwa Afrika ( African powerhouse)
Pitia hapa kwa habari kamili:http://www.sundaystandard.info/venson-moitoi-should-withdraw-contest-lead-african-union-commission
Gazeti linaamini kwamba Mbeki ambaye alitumia jitihada kubwa wakati wa utawala wake kuijenga AU ndio 'masterminder' wa kumuingiza JK kama mwenyekiti wa AU kwa kigezo cha kuwa ndiye mgombea mwenye hadhi na linashuku kuwa Mbeki ndiye mzizi wa fitina wa Matatifa ya Afrika Magharibi kukacha kupiga kura ili kuruhusu JK aingie na tayari ameshamkabili JK kumshawishi kugombea.
Gazeti hilo pia limelaumu maamuzi ya Rais wa Botswana kutohudhuria vikao vya AU na na vikao vyengine kama kile alichoitisha Obama kwa viongozi wa Afrika.Gazeti limemshauri Pelonomi Venson-Moitoi kujitoa kwani tayari kwani Rais mstaafu JK anatoka toka taifa lenye ushawishi mkubwa Afrika ( African powerhouse)
Pitia hapa kwa habari kamili:http://www.sundaystandard.info/venson-moitoi-should-withdraw-contest-lead-african-union-commission