Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,503
- Thread starter
- #41
Unadhani movies ndo zinasababisha hii hali?Punguzeni kuangalia movies naona zinawaendesha vibaya
Unadhani movies ndo zinasababisha hii hali?Punguzeni kuangalia movies naona zinawaendesha vibaya
Wewe niambie HSP anaitwaje kwa kiswahili.
huo utafiti naimani haujafanyika africa,najua ni hawa hawa wazungu,nadhan walifanya utafit huo kulingana na mazingira mixer utamaduni wao.sasa sisi kwakua tuna hizo elementi basi tunajiweka,Hii hali haina ukishua wala nini na sijui kwa sababu gani unasema hivyo.
Ni aina fulani ya watu na imefanyiwa utafiti. Haina uhusiano na hali ya kipato cha mtu.
Kingereza kimetumika kwa kuwa kuna maneno hata kiswahili chake kukipata ni ngumu. Wewe niambie HSP anaitwaje kwa kiswahili.
Mimi nikikutana na purukusha zote hizo kwa siku moja, basi nitahitaji muda wa kutosha wa kukaa peke yangu na kuuguza mwili, nafsi na roho maana nakuwa nimeabsorb too much for the day na nahitaji kuprocess yote hayo.nlichogundua HSP wote mna kaukishua flani hivi,kama huna pesa wala kazi rasmi hiyo mnaita HSP itatoka tu,kilichonifurahisha wote mnajua kingereza.
hivi kwa wale tulio na marafiki wengi,yan hupati muda wa kukaa peke yako labda muda wa kulala,yani ukiingia ndani tu mgeni huyu hapa,mnataka kukaa tu wengine hao na simu za kukutaka uende hazikatiki,ikitokea uko peke yako siku haiendi kabisa unaona bora hata uende barabaran unyooshe miguu tu,.muda na movie huna na ikitokea ukaangalia basi unataka za mazombie,kivita,mapanga.vip na sisi tunaitwaje
Tunaongelea kitu kizuri ambacho watu wengi hudhani ni kasoro lakini sio.
Karibu.
Asante Ngabu...Watu wenye wepesi wa hisi [WWWH].
Angalizo: hisi, siyo hisia.
Ngabu to the rescue😛.
Asante Ngabu...
Hiyo sijui hata kwenye kamusi kama ningeipata.
Vipi unaelewa kuhusu hawa watu?
kweli Mungu aliumba,mimi hapo ndio siku imeenda poa sanaMimi nikikutana na purukusha zote hizo kwa siku moja, basi nitahitaji muda wa kutosha wa kukaa peke yangu na kuuguza mwili, nafsi na roho maana nakuwa nimeabsorb too much for the day na nahitaji kuprocess yote hayo.
Kiko mtandaoni kwa free.Soma Kitabu (Novel) inayoitwa " The Witch of Portobelo"
Yaani wewe kama mimiYani mara nyingi napenda kukaa peke yangu mpaka ofisini wananiambia ninaringa lakini sio kweli, nikifika kazini asubuhi nikishasalimiana na niliowakuta kunyanyuka ni muda wa lunch, over weekend mimi ndani najifungia kitandani na kuchart, sometimes mpaka nakosana na friends zangu maana unakuta tumepanga tutoke ikifika ule muda wa kutoka nagairisha mpaka siku hizi hawanialiki tena, but i feel more comfotable when i'm alone.
Hii hali unatokea pia mimi yani kuna watu yani cjui naonaje kuwa nao, inabidi hata wenzangu waniulize kwanini uko hivi na hiviPreviously nilikua nakaa na washkaji but nikawa nikotofauti sana even kwenye maongezi nikagundua naishi ulimwengu tofauti kabisa na wao! Then nikaona kama nakwazika flan hv, then nikafuata my passion
I thought may be am not compatible with the society,though I dont cry,but I like my own life,I am so sad when I see other going through difficult moments,I dont like spending too much time with people,I like to be alone.........Good to know.
Watu wengi hawatuelewi na wanatuweka ktk kundi la watu wanaojidai, hawajui kwamba we simply find it difficult to connect with people.
Tunafurahia maisha tukiwa peke yetu kuliko kuwa na kampani ya watu.
Ukishajitambua, ukajikubali hupati tabu.
Changamoto zipo ndugu. Binafsi hizi zinazoitwa connection sinaga kabisa, yani mtu mpaka anivute yeye na kwa kupenda kwake. Ni kweli inacost sana sababu unashindwa hata mtu umuanzeje. Unaweza poteza fursa.Thats is so true en am one of these people HSP but naomba mnisaidie jambo moja mi inafikaga kipindi najichukia mwenyewe for being HSP coz kuna baadhi ya mambo yanakuwa hayaendi sawa especially kwenye relationships, kupata connection za career en so many other things mi nikipata hizi challenges huwa natamanigi nii change but ndo nakuwa siwezi wezangu mnapata hii changamoto?
Wanaumia sana na watakaa kimya most of the time. Wako sensitive sana na maneno yanayozungumzwa kwao. Unaweza kuzungumza neno dogo ambalo unaona ni la kawaida lkn HSP likamuumiza mpaka ukashangaa.Mtoa mada naomba kujua kuhusu reactions zao hasa wakiudhika inakuwaje?
Unapenda kukaa na watu kwa muda mrefu? Mashosti labda au watu wa kazini?Hii hali unatokea pia mimi yani kuna watu yani cjui naonaje kuwa nao, inabidi hata wenzangu waniulize kwanini uko hivi na hivi
HSPs are not compatible with social life. They enjoy being alone.I thought may be am not compatible with the society,though I dont cry,but I like my own life,I am so sad when I see other going through difficult moments,I dont like spending too much time with people,I like to be alone.........