The HSPs (Highly Sensitive Persons)

The HSPs (Highly Sensitive Persons)

Hii hali haina ukishua wala nini na sijui kwa sababu gani unasema hivyo.

Ni aina fulani ya watu na imefanyiwa utafiti. Haina uhusiano na hali ya kipato cha mtu.

Kingereza kimetumika kwa kuwa kuna maneno hata kiswahili chake kukipata ni ngumu. Wewe niambie HSP anaitwaje kwa kiswahili.
huo utafiti naimani haujafanyika africa,najua ni hawa hawa wazungu,nadhan walifanya utafit huo kulingana na mazingira mixer utamaduni wao.sasa sisi kwakua tuna hizo elementi basi tunajiweka,

turudi hapa.kwann nmehusisha hili suala na hali ya maisha

kama huna pesa wala kazi rasmi huwezi kuacha kujichanganya maana pesa ipo mtaani,kwa mfano mtu unabeba mabox pale kariakoo au unatafuta wateja na kuwapeleka dukan,hiyo tabia itakutoka tu.au huna kitu hivyo itakulazimu tu uongee na watu.pia kwa mazingira ya kijijini hakuna umeme wala hizo movie huzijui,sijui utashinda mton au shamba

najua kuna hao watu waliobeba baazi ya element ila huwezi kuwaweka moja kwa moja na asilimia kubwa inategemeana na mazingira
 
nlichogundua HSP wote mna kaukishua flani hivi,kama huna pesa wala kazi rasmi hiyo mnaita HSP itatoka tu,kilichonifurahisha wote mnajua kingereza.


hivi kwa wale tulio na marafiki wengi,yan hupati muda wa kukaa peke yako labda muda wa kulala,yani ukiingia ndani tu mgeni huyu hapa,mnataka kukaa tu wengine hao na simu za kukutaka uende hazikatiki,ikitokea uko peke yako siku haiendi kabisa unaona bora hata uende barabaran unyooshe miguu tu,.muda na movie huna na ikitokea ukaangalia basi unataka za mazombie,kivita,mapanga.vip na sisi tunaitwaje
Mimi nikikutana na purukusha zote hizo kwa siku moja, basi nitahitaji muda wa kutosha wa kukaa peke yangu na kuuguza mwili, nafsi na roho maana nakuwa nimeabsorb too much for the day na nahitaji kuprocess yote hayo.
 
Thats is so true en am one of these people HSP but naomba mnisaidie jambo moja mi inafikaga kipindi najichukia mwenyewe for being HSP coz kuna baadhi ya mambo yanakuwa hayaendi sawa especially kwenye relationships, kupata connection za career en so many other things mi nikipata hizi challenges huwa natamanigi nii change but ndo nakuwa siwezi wezangu mnapata hii changamoto?
 
Mimi nikikutana na purukusha zote hizo kwa siku moja, basi nitahitaji muda wa kutosha wa kukaa peke yangu na kuuguza mwili, nafsi na roho maana nakuwa nimeabsorb too much for the day na nahitaji kuprocess yote hayo.
kweli Mungu aliumba,mimi hapo ndio siku imeenda poa sana
 
Yani mara nyingi napenda kukaa peke yangu mpaka ofisini wananiambia ninaringa lakini sio kweli, nikifika kazini asubuhi nikishasalimiana na niliowakuta kunyanyuka ni muda wa lunch, over weekend mimi ndani najifungia kitandani na kuchart, sometimes mpaka nakosana na friends zangu maana unakuta tumepanga tutoke ikifika ule muda wa kutoka nagairisha mpaka siku hizi hawanialiki tena, but i feel more comfotable when i'm alone.
Yaani wewe kama mimi
 
Previously nilikua nakaa na washkaji but nikawa nikotofauti sana even kwenye maongezi nikagundua naishi ulimwengu tofauti kabisa na wao! Then nikaona kama nakwazika flan hv, then nikafuata my passion
Hii hali unatokea pia mimi yani kuna watu yani cjui naonaje kuwa nao, inabidi hata wenzangu waniulize kwanini uko hivi na hivi
 
Good to know.

Watu wengi hawatuelewi na wanatuweka ktk kundi la watu wanaojidai, hawajui kwamba we simply find it difficult to connect with people.

Tunafurahia maisha tukiwa peke yetu kuliko kuwa na kampani ya watu.
Ukishajitambua, ukajikubali hupati tabu.
I thought may be am not compatible with the society,though I dont cry,but I like my own life,I am so sad when I see other going through difficult moments,I dont like spending too much time with people,I like to be alone.........
 
Thats is so true en am one of these people HSP but naomba mnisaidie jambo moja mi inafikaga kipindi najichukia mwenyewe for being HSP coz kuna baadhi ya mambo yanakuwa hayaendi sawa especially kwenye relationships, kupata connection za career en so many other things mi nikipata hizi challenges huwa natamanigi nii change but ndo nakuwa siwezi wezangu mnapata hii changamoto?
Changamoto zipo ndugu. Binafsi hizi zinazoitwa connection sinaga kabisa, yani mtu mpaka anivute yeye na kwa kupenda kwake. Ni kweli inacost sana sababu unashindwa hata mtu umuanzeje. Unaweza poteza fursa.

Kwenye relationship huko ndo kabisa maumivu maana ile kuwa attentive to detail na kutokuconnect na watu kirahisi inafanya mahusiano yawe magumu.

Habari njema ni kwamba HSPs are comfortable with who they are. Yani hata ile hali ya kutokuwa kwenye mahusiano unafurahia kwa kuwa unakuwa na muda mwingi wa kuwa peke yako, labda atokee mtu utakayeconnect naye, vinginevyo maisha ni murua.
 
Mtoa mada naomba kujua kuhusu reactions zao hasa wakiudhika inakuwaje?
Wanaumia sana na watakaa kimya most of the time. Wako sensitive sana na maneno yanayozungumzwa kwao. Unaweza kuzungumza neno dogo ambalo unaona ni la kawaida lkn HSP likamuumiza mpaka ukashangaa.

Kumbuka wako highly sensitive to almost everything around them.
 
I thought may be am not compatible with the society,though I dont cry,but I like my own life,I am so sad when I see other going through difficult moments,I dont like spending too much time with people,I like to be alone.........
HSPs are not compatible with social life. They enjoy being alone.

Wanaumia sana kuona mtu au mnyama anateseka coz wako emotional.

Mimi nikiona mtu anamchinja kuku naogopa maana naona ni ukatili uliopitiliza.
 
Back
Top Bottom