Hapana huo mkia wa kushoto unaishia Kijiji kimoja kinaitwa isole kipo sengerema isipokuwa kuna mto ambao unamwaga maji ziwa Victoria unaitwa ‘nyaruhwa' huo ndio unaoweza kufika sehem ya shinyanga
Ni story ndefu lakini usiombe kuvamiwa maana mungu tu ndio atakunusuru.
2017 walinivamia na kufanikiwa kuiba simu smartphone 4, kiasi cha fedha na kumjeruhi kijana mmoja nilikuwa naishi nae, ila walichokipata nao hawatosahau maisha yao huko walipo.
Ila tukio hili lilinipa somo kubwa sana...
Kimbisa, Kama upo serious huta kuja kumuacha na una malengo nae tatizo hilo dogo sana njoo pm nikupatie muongozo tatizo lako limeisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.