Ni kipindi kirefu sasa kila wakati napigiwa simu na UNKNOWN NUMBER Na ukipokea haongei kwa siku inaweza kupiga mara nne au tano kila siku hivyo kusababisha usumbufu usio wa lazima mwenye uelewa nisaidie tafadhali!!!.
Mimi natumia NOKIA mkuu!!
Hata mimi inanisumbua sana hadi keroNi kipindi kirefu sasa kila wakati napigiwa simu na UNKNOWN NUMBER Na ukipokea haongei kwa siku inaweza kupiga mara nne au tano kila siku hivyo kusababisha usumbufu usio wa lazima mwenye uelewa nisaidie tafadhali!!!.