Hii mdada naona madada wa humu wamenyamaza, si tu wanapenda maisha mazuri pia wanajiamini kupita kiasi wanakuwa na dharau na baadhi yao hawapendi unyenyekevu
Jamaa yangu kwanza jinsi ulivyojieleza nimepata picha kuwa UNAUMIA SANA, pole. Na ninajua unaumia si kakuacha zaidi ni kuwa ulimnyanyua alipo na wa Kwao pia, ila ulichosema ni wengi yamewakuta tena si kwa kusikia Bali kuambiwa nao kabisa, ungenijibia maswali ambayo ningekuuliza ningekuwa majibu...
Ngoja niwaambie msidanganyike eti hafurahishwi ni uongo kwa sababu zifuatazo.
1° Angekuwa hafurahishwi angetamka mwenyewe kwa kinywa chake mbele ya hadhara ama vyombo vya habari
2°Mbona walimhoji akiwa waziri kuwa je utagombea uraisi akakana kabisa ila mwishoni akagombea. Ivo msiyaamini maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.