Recent content by Msifuni Ally

  1. Msifuni Ally

    Tundu Lissu: Mawakala wa mabwanyenye waliosababisha ndege yetu ikamatwe Canada ni akina nani hasa? Ukweli huu hapa

    Zaidi ya Bilion 80 zimelipwa kwa sababu ya ujuaji , kutotaka Ushauri, ambazo zingefanya maendeleo makubwa. Yani tunatwangwa maji kwenye kinu
  2. Msifuni Ally

    Msaada: Majina ya kiume na ya kike yanayoanzia na J

    Jenifana, Jenustela Jasmini Jackline Jastinine Jakaya Julius Juma Jane n.k
  3. Msifuni Ally

    Nimeamini CHADEMA ni chama cha kiungwana

    Kwan hukujua hilo?
  4. Msifuni Ally

    Wadada wenye Degree ndo wanaongoza kuwa Single Mothers

    Hii mdada naona madada wa humu wamenyamaza, si tu wanapenda maisha mazuri pia wanajiamini kupita kiasi wanakuwa na dharau na baadhi yao hawapendi unyenyekevu
  5. Msifuni Ally

    Top ten ya Mikoa yenye wanaume wa shoka

    Kilimanjaro ni uongo
  6. Msifuni Ally

    Imeniuma sana, mke wangu anatembea na baba yake mdogo

    Jamaa yangu kwanza jinsi ulivyojieleza nimepata picha kuwa UNAUMIA SANA, pole. Na ninajua unaumia si kakuacha zaidi ni kuwa ulimnyanyua alipo na wa Kwao pia, ila ulichosema ni wengi yamewakuta tena si kwa kusikia Bali kuambiwa nao kabisa, ungenijibia maswali ambayo ningekuuliza ningekuwa majibu...
  7. Msifuni Ally

    Ndemla kupewa gari na kiongozi kutaivuruga timu

    Simba mna mbwembwe
  8. Msifuni Ally

    Botswana waichana live USA

    Afrika tunatatizo moyo nalo ni kujihisi wanyonge hatufai na kuwaona wazungu wako juu, kwani kila jambo likitamkwa tunaona tumebaguliwa, kwani sisi hatuwezi kutamka jambo lolote kwao. Tubadilike
  9. Msifuni Ally

    Huyu Brother "K" wa futuhi mashati yake anapataga wapi?

    Yapo marobota yenye vifaa hivyo
  10. Msifuni Ally

    Humphrey Polepole: Rais Magufuli hafurahishwi na mjadala wa kuongezewa miaka ya Urais kutoka 5 hadi 7

    Ngoja niwaambie msidanganyike eti hafurahishwi ni uongo kwa sababu zifuatazo. 1° Angekuwa hafurahishwi angetamka mwenyewe kwa kinywa chake mbele ya hadhara ama vyombo vya habari 2°Mbona walimhoji akiwa waziri kuwa je utagombea uraisi akakana kabisa ila mwishoni akagombea. Ivo msiyaamini maneno...
Back
Top Bottom