flagship
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,641
- 1,189
Botswana wananifurahisha sana.
Nimetoka kusema kwenye thread nyingine, nchi za Afrika zinatakiwa kufukuza hawa mabalozi wa Marekani na kuvunja uhusiano wa kibalozi na Marekani mpaka rais wa Marekani aombe radhi.
Aone kwamba Marekani hata kama ina nguvu vipi, nayo pia inategemea ushirikiano na nchi za ki Afrika katika vita dhidi ya ugaidi, biashara etc.
Afrika kwa sasa inaweza kirahisi sana kuamua kufanya biashara na Ulaya na China, ikaipotezea Marekani.
Tatizo kila nchi ni kibaraka wa marekani.
