Recent content by mshipa

  1. mshipa

    Uzi wangu wa mwisho kabla ya D9. Sipost tena uzi

    Tuliza kinyeo we boya tu
  2. mshipa

    Yamenikuta na mimi kwa mke wangu

    Daah jamaa amemkamata mkeo kwelikweli
  3. mshipa

    GE2025 Risala ya mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC kuhusu uchaguzi mkuu utakaofanyika siku Oktoba 29,2025

    Zile meseji za UCHAGUZI za kuhakiki kituo cha kupigia kura ukihakiki tu ndio ushapiga kura bila kupenda
  4. mshipa

    GE2025 Tarehe 29 inawezekana wakakamatwa wanaokwenda kupiga kura badala ya waandamanaji

    Kuna uwezekano wanachama wa mbogamboga wakaruhusiwa kuvaa sare za chama kuepusha mkanganyiko
  5. mshipa

    FULL TEXT: Maelezo ya Ushahidi wa Luhaga Mpina kwa Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson juu ya Waziri Hussein Bashe kusema Uongo Bungeni kuhusu Sukari

    Ndio mana maza hampendi Mpina kumbe chanzo ni issue ya sukari baada ya Mpina kuhoji kuhusu Itel East Africa
  6. mshipa

    Nchi yetu ya ajabu kweli yaani Polepole ndo kasahaulika kama akina Mdude na Saanane!!!

    Polepole yupo amejaa tele anaperuzi tu JF
  7. mshipa

    Kumbe inawezekana: Mwendokasi TANO zinasubiri abiria Mbezi Mwisho

    Labda kwasababu tarehe 25 naskia atakuwa mbezi mwisho kwa ajili ya kampeni
  8. mshipa

    Ila kuachwa

    Sasa mtafute uliyecheat naye muendeleze mapenzi yenu na hapo utakuwa hucheat tena
  9. mshipa

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Mimi wanawake wanaovaa pini puani na shanga kiunoni hapana kabisa, yaani nawaona kama waganga wa kienyeji vile
  10. mshipa

    Hivi huwa yana kazi gani?

    Picha umesahau mbona?
  11. mshipa

    Polepole kufungwa au kunyongwa ikiwa tu...

    Pole pole anaishi wapi na huyo jamaa kapotelea wapi?
Back
Top Bottom