Mkuu mpunga mm nataman kuwa na mdahalo wa kitaifa kuhusu mpira wetu hasa timu yetu ya taifa star napanga kuja kukusannya pm za wana jf hapa ili kuishinikiza tff iandae hili tumeshapotea ila tunaweza kujipanga tuende mbele maana hadithi n ile ile tuu hakuna jipya
Tumechemka sana hili lazima tuseme na tunalalamika ivi kwa kuwa tunaipenda nchi yetu na timu yetu ila timu yetu ipate mechi angalau moja na nchi ambayo kiwango chake kinalingana na zimbabwe kushinda leo goli moja bado timu n nyepesi sana angalia msumbiji kashinda ngapi jaman tuondoke hapa tulipo...
Rais nipo positive ila ushindi wa goli moja kweli kaka tusiweke siasa elewa kabisa wao wamekuja kutafuta draw ama kufungwa c zaidi ya moja na wamefanikiwa tupo pamoja ila safari n ndefu sanaa kaka malinzi,
Tuwe na mjadala mpana sana kuhusu soka letu bila hivyo hatutaenda popote pale itabakia...
Mm kwangu nimepiga marufuku kuangalia clouds maana nipo na bibi yangu alafu wanaonyesha huo upuuzi wao wa kunyanyasa bibi na mama za watu wapuuuuzi sana hawa clouds
Ndio maana naipenda jf university collegge hapa unapata elimu bila cheti safi sana mm nipo znz lakini nataka kukimbia huku nihamie dar ili nilime haya matikiti maana huku znz yana soko balaa hasa kwenye mahotel ya kitalii.
Big up kwa hili darasa nimelipenda
Taifa stars n janga la kitaifa sana maana hakuna la maana anzia jezi mpaka mpira wanaocheza n sifuri tuu,hakuna la kueleweka zaidi ya porojo za tff tuu sioni lolote lile la mpira kuchezwa zaidi ya maneno hakuna jipya,
Tff haya maboresho yenu mungeyaleta mda mwafaka lakini c sasa mnatufanya...
Jamaa hana makuu ya sifa za kijinga ila n muelewa na kwa kuwa yy hajasoma ila watoto wake wamesoma vizuri sana na kaajiri wasomi wazuri sana ambao wanaenda sambamba na kampuni kama coca cola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.