Mabanda ya kukodisha

dalbega

Member
Apr 13, 2012
99
32
Ninahitaji mabanda ya kukodisha kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe au kuku. Yeyote mwenye mabanda hayo au anaejua mahali yanapopatikana katika jiji la Dar tafadhali anifahamishe. Namba yangu ni 0714786186. Thanks
 
Kuna jamaa anatengeneza
 

Attachments

  • 1400450371577.jpg
    1400450371577.jpg
    58.2 KB · Views: 79
Back
Top Bottom