Naona kuna mwanga kwa mbali.Vijana wanaweza kufanya kweli.Malinzi ni mpambanaji,stars ya majaribio imewaamsha wakongwe.Tukiitoa Zimbabwe tutacheza na mshindi kati ya Msumbiji na Sudan Kusini kisha kama tutashinda tutaingia kwenye kundi lenye timu za Zambia, Cape Verde na Niger....hapa washindi wawili wanaenda Morocco 2015 na mshindi wa tatu anaweza kupita kama atakuwa best looser