Hivi munataka kutudanganya kuwa aliyaagiza yale magar hajui kua bandarin kuna scan inayoweza kuona kilichopo ndani?pili ilikuaje magar hayo yaje na plate no ya tz?hizi sinema za kitoto kabisa nch yenye wasomi hamuwezi kucheza michezo kama hii nikutudanganya.hata hayo makontena ya mchanga bado...
Ili tufikie lengo tunahtaji mtaji na mtaji wetu ni watu.hao walofukuzwa wana mitaji watakayohama nayo waache waje.usitegemee aliyempa sophia simba kura akiwa ccm kesho atamnyima au kuipa ccm hatakama sophia hatogombea akiwa chadema.tunayo mifano ya bulaya na nk
Mim nimwana arusha jimbo hili chadema waeke paka au jiwe kwenye uchaguzi ccm waeke mtu tutachagua jiwe au paka.vitakua na akili kuliko mtu wa ccm kumpa hapa
Wanachonikera wanafanya mambo kinyume na din kwa kutumia mwavuli wa din.hakuna tofaut na mtu aliyevaa kanzu akaenda kula ngurue nikuudhalilisha uislam.uislam ni din yenye misingi isiyobadilika.walichonya din haikitambui hiyo dua niyaowala isihusishwe na din.
Kweli mashekh wa bakwata wamezidi unafiq kwa kuendekeza tumbo.din ya kiislam iko wazi na inamisingi yake na muongozo alotuwekea mungu.haikubaliki dua ya asiyekua muislam kumuombea muislam au muislam kumuombea asiyekua muislam.kwa kuitumia quran.shart asilim kwanza.sasa hawa mashekh uchwara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.