Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,770
Haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa ni ya msingi sana. Kila mtu anayo haki ya kuwa na itikadi yoyote ya ksoasa na kubadilisha atakavyo. Vivyo vyama vya siasa vina katiba na miongozo nayowaongoza kupokea au kutopokea wanachama wapya. Natarajia CHADEMA kuwa makini katika kusajili wanachama wapya!