As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,544
Tubia kwa Mola wako na huyo pepo wako wangono inabidi aondolewe hilo ndilo SuluhishoHumpendi ila unamchezea hivyo vuna ulichopanda
Tubia kwa Mola wako na huyo pepo wako wangono inabidi aondolewe hilo ndilo SuluhishoHumpendi ila unamchezea hivyo vuna ulichopanda
Kama kweli unampnda why ulichepuka?Naomba ushauri
Nimekuwa nikijihusisha na kuchepuka na mdogo wa mpenzi wangu ambaye ndiye namtegemea kumuoa hapo baadae maisha ya ajira yakikaa vizuri
Sasa nimejitokeza hapa nahitaji ushauri kwani nahisi kuchanganyikiwa kabisa kwani huyu mdogo wa mpenzi wangu amenasana ujauzito na hii alinitaarifu sikuamini hadi hapo leo nilipoamua kumpeleka hospitari akapimwa na ana mimba ya miezi miwili!
Wakuu nakuombeni mnishauri kwa hali hii nakababiliana nalo vipi na uyo wife wangu wa badae hatakiwi kujua hii kitu kwani ananipenda na ninampenda sana
Nahitaji mawazo yenu
Ntolee salam kwa mama KijachoNaomba ushauri
Nimekuwa nikijihusisha na kuchepuka na mdogo wa mpenzi wangu ambaye ndiye namtegemea kumuoa hapo baadae maisha ya ajira yakikaa vizuri
Sasa nimejitokeza hapa nahitaji ushauri kwani nahisi kuchanganyikiwa kabisa kwani huyu mdogo wa mpenzi wangu amenasana ujauzito na hii alinitaarifu sikuamini hadi hapo leo nilipoamua kumpeleka hospitari akapimwa na ana mimba ya miezi miwili!
Wakuu nakuombeni mnishauri kwa hali hii nakababiliana nalo vipi na uyo wife wangu wa badae hatakiwi kujua hii kitu kwani ananipenda na ninampenda sana
Nahitaji mawazo yenu




kazi sio kigezo cha kutokuwa na mwanamke!Huna kazi ya uhakika unatembeza, ukioa si ndio utakuwa balaa.
Bola huyo mchumba ajue akuache ajipatie mwanaume mwingine.
Haujiheshimu haufai kuwa mume.
dah nilitaka kumshauri umenikatisha roho inaniuma sanaNaombeni msimshauri kutoa mimba....
Mueleze ukweli dada yake kisha umuoe mdogo wakeNaomba ushauri
Nimekuwa nikijihusisha na kuchepuka na mdogo wa mpenzi wangu ambaye ndiye namtegemea kumuoa hapo baadae maisha ya ajira yakikaa vizuri
Sasa nimejitokeza hapa nahitaji ushauri kwani nahisi kuchanganyikiwa kabisa kwani huyu mdogo wa mpenzi wangu amenasana ujauzito na hii alinitaarifu sikuamini hadi hapo leo nilipoamua kumpeleka hospitari akapimwa na ana mimba ya miezi miwili!
Wakuu nakuombeni mnishauri kwa hali hii nakababiliana nalo vipi na uyo wife wangu wa badae hatakiwi kujua hii kitu kwani ananipenda na ninampenda sana
Nahitaji mawazo yenu
Unampenda utembee na mdogo wake?ww umelaaniwa oa woteNaomba ushauri
Nimekuwa nikijihusisha na kuchepuka na mdogo wa mpenzi wangu ambaye ndiye namtegemea kumuoa hapo baadae maisha ya ajira yakikaa vizuri
Sasa nimejitokeza hapa nahitaji ushauri kwani nahisi kuchanganyikiwa kabisa kwani huyu mdogo wa mpenzi wangu amenasana ujauzito na hii alinitaarifu sikuamini hadi hapo leo nilipoamua kumpeleka hospitari akapimwa na ana mimba ya miezi miwili!
Wakuu nakuombeni mnishauri kwa hali hii nakababiliana nalo vipi na uyo wife wangu wa badae hatakiwi kujua hii kitu kwani ananipenda na ninampenda sana
Nahitaji mawazo yenu
Nashauri kwanza hata ajira usipewe maana utatuharibia watoto wetu. Na ingekuwa kwetu swanga ukigoma kuoa tunakuoteshea na maziwa ili uone raha ya usaliti. View attachment 478734.Muone mwenzio hapa. Hatupendi ujinga sisi.