Recent content by msellegx

  1. M

    Mpenzi hataki niende Jeshini

    Ebu kua mtu mzima ww...maisha kwanza....huyo demu una uhakika gani hagongwi saiv...nenda kasake life ww...km wako ukirudi atakutafuta mwenyewe...wengine tumeshasacrifice mengi
  2. M

    Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

    Huyu mtoa mada na yy km Cpt.Komba tu...huyo bingwa kasoma miaka tisa chuo kuitwa bingwa...5 for bachelor degree. ..4 for masters of medicine in dermatology and veneriology...we ungekua umesoma kadegree kako ka miaka 3 baada ya miaka 9 si ungekua na phd... mbona umelipa 15,000 kwenda kumzomea...
  3. M

    Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

    Hahahahahaaa.... Rutashobolwa....usiwaze mbaba...Not personal bana....kaniboa tu huyu jamaa...ni km wanavyotania kwamba umetoka Uru Kishumundu...usiwaze ila mtoa mada kweli kibakuli...!!!
  4. M

    Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

    Mtoa mada ni kibakuli km atakayemsupport... Utoto wa mjini umekuharibu...ungekua unafanya kazi zinahohitaji saa ungeelewa umuhimu wa saa sio ututolee kitechno chako wakati kila mtu ana simu yake...!!! Umetokea Bunda nn ww
  5. M

    Angalia walivyotekeleza mauji ya Amaduu

    Ni nani huyo Col.Mamadou..??
  6. M

    undergraduates admission for the year 2013/2014 KCMC

    Karibuni sana first years KCMUCollege...2013/2014...may God be with u as u prepare to encompass a life time journey at a KCMUCo
  7. M

    Mtu anapona ukimwi kwa njia ya miujiza ? Ndiyo.

    There is nothing like kupona UKIMWI kwa kuombewa...niletee mgonjwa nimpime nijirdhishe ana mdudu thwn leteni huyo muombeaji...!!there is nothing like that..!! Labda kama ulipewa kqa kubakwa...!!a virus can stay undetected and dormant for years...
  8. M

    Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Zingatia ushauri wa Prince Hope amd utamalia shida yako..
  9. M

    Update: Lema kufikishwa Mahakamani Jumatatu

    Tutakua pamoja...ngoja nifunge safari kabisa...frm rombo hiyoo...
Back
Top Bottom