Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

Naona we umechanganyikiwa kweli, we unaona sh elfu 10 ni Pesa kubwa.

Kwanza nikusahihishe: Ulitoa elfu kumi si kumuona daktari, wewe ndie ulienda kuonwa Na daktari ili atambue tatizo lako Na akupe dawa sahihi. Kwanza hao madaktari nawashangaa kulipisha elfu kumi, Kama mi lawyer sikuoni chini ya elfu hamsini

I second you.
 
Kama unaweza kufahamu kuwa maelezo ya Specialist hayajitoshelezi, sasa ulienda kumuona ili iweje? Jitibu mwenyewe si unajua?

Mkuu, nadhani hoja iliyoletwa ni nyepesi. Huwezi kupewa gharama ya kuonwa na daktari kwa Tsh 10,000/= halafu ulalamike, hasa kwenye uchumi wa sasa. Na ingawa sidhani kama aliyeonana naye ni Daktari wa ngozi kwani gharama bado ni ndogo.

Laiti amabcyo waru wangelijua ilivyo gharama kuonana na wataalamu wa afya hospitali za wenzetu tusingesema hivyo na hapa tutarudi kule kule, matibabu ya sasa bila Bima, utakufa masikini hii ni hakika.
 
Na kumuona manyaunyau ni shilingi ngapi.....??
bora walalahoi tugeukie huko...
 
Mkuu, nadhani hoja iliyoletwa ni nyepesi. Huwezi kupewa gharama ya kuonwa na daktari kwa Tsh 10,000/= halafu ulalamike, hasa kwenye uchumi wa sasa. Na ingawa sidhani kama aliyeonana naye ni Daktari wa ngozi kwani gharama bado ni ndogo.

Laiti amabcyo waru wangelijua ilivyo gharama kuonana na wataalamu wa afya hospitali za wenzetu tusingesema hivyo na hapa tutarudi kule kule, matibabu ya sasa bila Bima, utakufa masikini hii ni hakika.

Usilingan za wenzetu na zetu
 
Kwa hali ilivyo sasa ukiugua/kuuguliwa ni stress tupu sababu ya gharama na urasimu. Consultation fees zitaendelea kuongezeka kila kukicha.. Hiyo 10,000 nadhani ndo the lowest fee kumwona specialist Tz..

WAY FORWARD.....
Serikali inatakiwa kuweka utaratibu utakaowawezesha watanzania wote wawe na uwezo wa kujiunga na mfuko wa bima ya afya wa taifa..

hakuna kitu.bima ya yenyewe wexi Tu,Kuna baadhi ya magonjwa upati dawa
 
Watanzania Nyerere aliwaharibu. Mnataka afya bure. Elimu bure. Kila kitu bure. Sasa wewe walalamika kwa elfu kumi ambayo ni consultation fee ya clinical officer au Nurse... ukija tunako charge kwa dola si utakimbia...

sass kodi tunalipa zanini,pia dollarization is illegal although govt turns blind eye
 
Duh hii ni mojawapo ya mada ya kipuuzi kabisa

Yaani mtu mwenye uelewa nikimaanisha atakua anajua walau kusoma na kuandika alalamike kumuona dlataro bingwa, tena wa ngozi kwa consultation fee ya 10,000/-? Kweli wonders will never end.

Halafu akapewa huduma na hakuridhika. Jambo la kushangaza kwa mtoa mada alitakiwa apewe 'maelezo' gani aridhike? pengine alitakiea aambiwe anaumwa hichi na kile na haya na yale etc etc pengine ndio angeridhika kwamba kaona na daktaro bingwa na akamrundikia magonjwa! shabaaash!

Ndugu mtoa mada, consultation ya sh 10,000/- kumuona specialist ni ndoooogo saaana! Udogo wake si kwa minajili ya kuangalia uwezo au kipato chako, la hasha. Ila udogo wake unakuja kwa kuangalia gharama kubwa ya kuanzisha, kuendesha na kustatain upatikanajji na ubora wa huduma za afya

kumuona Dr Bingwa kwa sasa sehemu nyingi sio chini ya sh 50,000/- Na hii ni kila unapomuona lazima ulipe hii.

Na pia kama unaona ni ghali basi usiende na wala usitafute huduma zao maana hata kwa sangoma naamini siyo bure.
 
Usilingan za wenzetu na zetu

Usipotumia ulinganifu ndipo hapo kwenye shida yenyewe, hebu niambie Hospitali gani ambayo Consultation fee ni Tsh 10,000/=Tshs na nikisema hospitali namaanisha hospitali siyo Zahanati(Dispensary) au kituo cha Afya(Health Centre)

ambapo ukitaka kuonana na daktari (na kwa kusema daktari namaanisha kuanzia Medical Doctor(M.D) na sio Clinical officer(C.O), wala Assistant Medical Officer(A.M.O) ambapo utakuta bei "chee" kama hiyo!

Ukipata majibu, njoo tuendelee kujadili hili.
 
Huyu mtoa mada na yy km Cpt.Komba tu...huyo bingwa kasoma miaka tisa chuo kuitwa bingwa...5 for bachelor degree. ..4 for masters of medicine in dermatology and veneriology...we ungekua umesoma kadegree kako ka miaka 3 baada ya miaka 9 si ungekua na phd...

mbona umelipa 15,000 kwenda kumzomea diamondo na linah fiesta hujapiga kelele...!!!Nishasema tena "kumridhisha mswahili ni sheeeedaaah saaanaaaa..."

Km vp infia kwa manyau manyau utibiwe chango yako baaab...!!! Wenye shule zao waache...!!! Hali ya uchumi ngumu ndo maana bei zimepanda
 
Ila kiukweli syo fair 10000 jamani watu wanapigania mlo mmoja... Dahhh afya ya maskin haina thamani
 
lane

Hakika aliyeshiba hamjui mwenye.. Laiti mngejua watu wanavyoteseka na umaskin.usingeandika upuuzi huu wote.
 
Last edited by a moderator:
Heri yako ulikuwa na milioni mbili ukaokoa maisha yako, sisi tunaotegemea Mwananyamala, Temeke, Amana tungekuwa tumeshakufa zamani.

mkuu yote ni kumuomba Mola, sijaanzia apo, nilianzia Moshi KCMC nikaambiwa eti hakuna CT Scan, nikaenda Arusha OOLa , eti labda Agha Khan, nikaenda dar ndio ayo yalinikuta, Mtukuze Mola ukiwa na afya njema, hii nchi yetu ni ajabu sana, tunaangamia kwa kukosa maarifa... Imagine tunanunua shangingi la mil400 kama serikali ila kanda nzima haina CT Scan ya mil izo izo kwa upande wa sirikali....
 
mkuu yote ni kumuomba Mola, sijaanzia apo, nilianzia Moshi KCMC nikaambiwa eti hakuna CT Scan, nikaenda Arusha OOLa , eti labda Agha Khan, nikaenda dar ndio ayo yalinikuta, Mtukuze Mola ukiwa na afya njema,

hii nchi yetu ni ajabu sana, tunaangamia kwa kukosa maarifa... Imagine tunanunua shangingi la mil400 kama serikali ila kanda nzima haina CT Scan ya mil izo izo kwa upande wa sirikali....

Kaka pole saana, nchi yetu ni shida saana kwa serikali na wananchi pia, serikali inaweza kununua hiyo CT scan na kuiweka hospital waafanyakazi wa hospital wanaweza kuiharibu makusudi ili wagonjwa waende private hospitals ili hao hao wafanyakazi wapate fedha , kuna mgongano wa kimaslahi sometimes.
 
nasikia diaspora walimwona jk kwa kulipa dolari
 
Back
Top Bottom