Huyo mwanamke ana matatizo, yeye hana jukumu la kuendesha familia ila ww ndo unalo kwahiyo yeye haoni mzigo kiviiiiile. Harafu Mkuu inaelekea ww unayumbishwa sana na huyo Bint, yaani ameshajua kuwa unamzimikia vibaya sana.
Sikia kijana usiwe chuo form za kujiunga Jeshi na uende ukatafute maisha huko. Ila nenda Jeshi kama una vyeti vizuri na mtu wa kukushika mkono.
Huyo mwanamke alipaswa wakati huu akutie moyo na sio kuanza kukufanya uwe na Stress.
Wewe ni mtoto wa kiume utashikwaje akili na mwanamke kizembe? Tena anakushika akili kwa maslahi yako binafsi.
Hata baba ako ukimwambia jambo hili anaweza akakutilia sumu ufe, wewe ni mwanaume na future ya maisha yako ipo mikononi mwako mwenyewe.
Sikia kijana usiwe chuo form za kujiunga Jeshi na uende ukatafute maisha huko. Ila nenda Jeshi kama una vyeti vizuri na mtu wa kukushika mkono.
Huyo mwanamke alipaswa wakati huu akutie moyo na sio kuanza kukufanya uwe na Stress.
Wewe ni mtoto wa kiume utashikwaje akili na mwanamke kizembe? Tena anakushika akili kwa maslahi yako binafsi.
Hata baba ako ukimwambia jambo hili anaweza akakutilia sumu ufe, wewe ni mwanaume na future ya maisha yako ipo mikononi mwako mwenyewe.