mbona lowasa zamani alikiwa anajua kujieleza vizuri tuu hata ukiangalia clip zake YouTube.inamaana huo ujiniaz umempata baada ya kuugua ugonjwa wake huo hadi cku iz tunamuona hawezi jieleza vizuri???
kuna maprofesa wa china na madaktari bingwa huko had ajui hata kiingereza..so kuwa mzalendo ktk lugha yako kunaongeza uwelewa na ufahamu wa mambo zaidi darasani..mi naona kiswahili kingetumika ingekuwa poa sana..najua ufaulu utaongezeka mara dufu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.