Recent content by msakuzi_huru

  1. msakuzi_huru

    Haya maisha sio poa kwakweli

    Jipe moyo, utatoboa mkuu! pambania ndoto zako kwa juhudi na maarifa huku ukimshirikisha Mungu wako umri bado unakuruhusu !
  2. msakuzi_huru

    Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

    Maelezo mazuri kabisa, ubarikiwe kwa ushauri huu mkuu!
  3. msakuzi_huru

    Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

    Kifo ndo solution kwa hili jambo, tena inabidi iwe mapema zaidi ili dunia iwe sehemu salama bila uwepo wenu machoko.
  4. msakuzi_huru

    Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

    Bora umeepuka kujitwika tena gunia la misumari kichwani kwako. Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
  5. msakuzi_huru

    Waislamu wanatubeba sana!!

    Hakika kama Taifa kuna watu fikra zao zimelemaa sana. Karne hii ya sasa ya sayansi na Teknolojia bado kuna watu mnawaza udini? Kwamba uislamu na ukristu kipi ni bora? That's why tunaonekana as shit hole countries.. Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
  6. msakuzi_huru

    Nisaidieni, umasikini wa familia unanitatiza

    Usikope pesa kwa mipango ya mutamizi. Utakuja kulia na kusaga meno mkuu Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
  7. msakuzi_huru

    Soma mkasa unitesao akili yangu

    Endelea kusubiria matokeo baada ya maamuzi yako mkuu. Utalipwa kwa shughuli uliyoitenda! N.B: Wanawake wote niwakuishi nao kwa akili kubwa sana
  8. msakuzi_huru

    Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

    Mzee Mohamed Saidi nakusalim, Bandiko limekaa kiudini sana hili! ilhali inafahamika tokea mwanzo hao wazee unaowatetea( babu zako) na kutaka historia yao iandikwe upya hawakua na tofauti na wananchi wengi waliojitoa kwa hali na mali kufanikisha uhuru wa taifa letu mfano ni parastatle...
  9. msakuzi_huru

    JamiiForums Usiku wa manane

    03: 17
  10. msakuzi_huru

    SoC01 My 3rd Year at the University - Boom to Business

    Umeharibu ulipo malizia na Good Morning pia reference ya Robert K.
  11. msakuzi_huru

    FT: Jwaneng Galaxy 0 Simba SC 2

    Nabii wa soka !
  12. msakuzi_huru

    Mwanamke kukataa kukutumia picha zake Whatsap ni ishara gani?

    Unapoteza mda wako, cha msingi "we mpelekee moto tu"
  13. msakuzi_huru

    Msaada: Kila nikikutana na mke wangu anapata fangas

    Mkeo alipokua anatumia dawa za fungus nawe ulipaswa kuambatana nae upimwe U.T.I etc upewe na dawa husika kwaajili ya kumlinda mwenza wako. Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom