Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

Swala gumu Sana Kwa wanaume Ni kujua kwamba hata Kama umeoa; ili mwanamke akupe unyumba Lazima awe Kwenye pick ya Furaha, ndo maana wanandoa wengi tu wanabakana!

Kufurahia unyumba Kwenye ndoa Ni Matokeo ya maisha ya Amani ya ndoa; ndivyo wanawake walivyoumbwa na sio kosa Lao; kabisa: ili mwanamke awe na amani:

- Hatakiwi kuwaza au kuwaza kuhusu maitaji, ndo maana wanaume Lazima tujitosheleze, sio pesa nyingi Sana, kujitosheleza tu.

- Usiwe na gubu na Ma ugomvi yasiyoisha, epusha kabisa, ukiona huwezi maisha ya Amani na mwanamke hata Kama ana matatizo, mpuuze au tafuta mwingine, WANAMLA tu!
Hahahahah wanawake huwajui wewe, mwanamke anaeza akakufyatua tu as jinsi anavyojiskia anytime anywhere.

Imagine mtu kasafiri kakupigia mnaongea unaliza kafika wapi, anakujibu mnaongea freshi. Kwa upendo tu wauliza mtoto vipi hasumbui kulia lia...

”Ungetaka kujua si ungepiga simu?”

Kwa kauli kama hio ilioulizwa ka tone ya kejeli unakuwaje na furaha.
 
Hahahahah wanawake huwajui wewe, mwanamke anaeza akakufyatua tu as jinsi anavyojiskia anytime anywhere.

Imagine mtu kasafiri kakupigia mnaongea unaliza kafika wapi, anakujibu mnaongea freshi. Kwa upendo tu wauliza mtoto vipi hasumbui kulia lia...

”Ungetaka kujua si ungepiga simu?”

Kwa kauli kama hio ilioulizwa ka tone ya kejeli unakuwaje na furaha.

Huyo sasa sio mwanamke Ni kichaa Na siwezi ishi naye hata week 1.
 
Hatari sanaaaa

Sijui imani yake lakini mpatie haya maagizo ya Mungu hapa yanaweza kumsaidia

1 Wakorinto 7:4-5
Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.
Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwasababu ya udhaifu wenu.
Hayo maandiko unayatumia au nawewe ni motivesheno spika maana kwa uzoefu makungwi wengi na marriage counsillors wao ndoa zimewashinda😅
 
Anza Kwa Kuongeza Jitihada Kuwa Imara Financially.

Huyo anaweza kuwa na stress za maisha kile alichotegemea kukipata kutoka kwako anaona bado hajapata.

Stress zinaondoa hali ya mtu kutamani kufanya tendo la ndoa.
 
Nimeshamrudisha kwao. Ila akiwa pale nyumbani siku Moja kabla ya kuondoka alikuwa anaongea Sana Mama ake. Aisee Mama ake amechangia Sana binti yake kuvunja muunganiko huu. Mama mtu ndo ameshikilia remote anam control binti atakavyo. Nimesemwa Sana nimesemwa Mimi... Eti Mimi mzee (But am 29) Nimesemwa nazalisha watoto wa watu nawaacha ( kisa nilizaa na Beki tatu wa home kitambo Sana) hajawahi kunipenda ananiigizia tu. Yeye hana hasara kwasababu shughuli kubwa ilifanyika kwetu na gharama ilikuwa kubwa. Hayo ni Maongezi ya aliekuwa mke wangu na Mama ake Mzazi. #Nimechoka kabisa.

Asanteni Sana kwa Ushauri wenu.
NB: Never allow the same 🐍 snake bites you twice.
***************************
 
Nimeshamrudisha kwao. Ila akiwa pale nyumbani siku Moja kabla ya kuondoka alikuwa anaongea Sana Mama ake. Aisee Mama ake amechangia Sana binti yake kuvunja muunganiko huu. Mama mtu ndo ameshikilia remote anam control binti atakavyo. Nimesemwa Sana nimesemwa Mimi... Eti Mimi mzee (But am 29) Nimesemwa nazalisha watoto wa watu nawaacha ( kisa nilizaa na Beki tatu wa home kitambo Sana) hajawahi kunipenda ananiigizia tu. Yeye hana hasara kwasababu shughuli kubwa ilifanyika kwetu na gharama ilikuwa kubwa. Hayo ni Maongezi ya aliekuwa mke wangu na Mama ake Mzazi. #Nimechoka kabisa.

Asanteni Sana kwa Ushauri wenu.
NB: Never allow the same snake bites you twice.
***************************
Bora umeepuka kujitwika tena gunia la misumari kichwani kwako.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Nimeshamrudisha kwao. Ila akiwa pale nyumbani siku Moja kabla ya kuondoka alikuwa anaongea Sana Mama ake. Aisee Mama ake amechangia Sana binti yake kuvunja muunganiko huu. Mama mtu ndo ameshikilia remote anam control binti atakavyo. Nimesemwa Sana nimesemwa Mimi... Eti Mimi mzee (But am 29) Nimesemwa nazalisha watoto wa watu nawaacha ( kisa nilizaa na Beki tatu wa home kitambo Sana) hajawahi kunipenda ananiigizia tu. Yeye hana hasara kwasababu shughuli kubwa ilifanyika kwetu na gharama ilikuwa kubwa. Hayo ni Maongezi ya aliekuwa mke wangu na Mama ake Mzazi. #Nimechoka kabisa.

Asanteni Sana kwa Ushauri wenu.
NB: Never allow the same snake bites you twice.
***************************
Apo nimekuelewa,mpende akupendae asie ķupenda achana nae,kila shetani na mbuyu wake
 
Hana hisia na wewe kwasababu hauna sifa za wanaume,

*sifa ya kwanza ya mwanaume ni kujiheshimu na kuheshimika,

*sifa ya pili ni msimamo / mwanaume hayumbishwi na msimamo ,

*sifa nyingine unayokosa ni kujiamini , haujiamini .

Sio makosa yake kukoasa hisia za kimapenzi na wewe kwasababu umekosa zile sifa muhimu ambazo inapaswa mwanaume halisi awe nazo

badala yake umekuwa mtu wa kulia lia na kubembeleza 24/7 una lilia penzi upo desperate vibaya mno!

Anayafanya yote hayo kwasababu anajuwa fika hakuna jambo lolote utaweza kumfanya and she doesn't even care...!


Achana naye jipange upya kaa chini utafakari ni wapi ulipokosea .. makosa mengi nishakueleza hapo juu

Hujiamini, huna msimao, hujiheshimu...

*Kutokujiamini kwako kunamfanya mwanake awe
Dominant kwenye mahusiaon yenu ...

na ndio maana unaona anakupangia hadi muda wa sex pamoja na masharti mengine ambayo hujayaandika hapa laikini najuwa yapo!

*Kutokujiheshimu kwako ndio kunamfanya akose heshima na kukujibo hovyo hovyo!


*kukosa kwako msimamo kunakufanya ushindwe kujuwa nini cha kufanya au hata kama unajuwa huwezi kufanya maamuzi

Hii ina mpa jeuri kukuendesha wewe atakavyo!
 
Ndio inavyokuwaga😅 wakati we unafosi upewe mbunye kuna msela anaipiga tena analazimishiwa kupelekewa kila saa mpaka ameichoka.

Siku akienda hajaliwa ndio anakuletea wewe upambane kumtoa genye ila hisia zinakuwa za mkopo😅

Sure tuishi nao kwa akili sana!!!
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Pole sana.
 
Hayo maandiko unayatumia au nawewe ni motivesheno spika maana kwa uzoefu makungwi wengi na marriage counsillors wao ndoa zimewashinda😅


Mimi sio motiveshenospika, kwa swala la ndoa sex ni chakula kingine cha mwanaume toka kwa mke wake. Kwanza mimi nimnyime kwa sababu ipi mfano?
 
Uchumba wa level ya degree!
Mkuu Mimi mke wangu tunajuana vizuri huu mwaka wa 17 na tumebahatika kuwa na watoto watatu hatujawahi kukalishwa na mtu yeyote kwa ajili ya kutusuluhisha. Siyo kwamba hatukwaluzani,tunakwaluzana mara kibao
 
Hana hisia na wewe kwasababu hauna sifa za wanaume,

*sifa ya kwanza ya mwanaume ni kujiheshimu na kuheshimika,

*sifa ya pili ni msimamo / mwanaume hayumbishwi na msimamo ,

*sifa nyingine unayokosa ni kujiamini , haujiamini .

Sio makosa yake kukoasa hisia za kimapenzi na wewe kwasababu umekosa zile sifa muhimu ambazo inapaswa mwanaume halisi awe nazo

badala yake umekuwa mtu wa kulia lia na kubembeleza 24/7 una lilia penzi upo desperate vibaya mno!

Anayafanya yote hayo kwasababu anajuwa fika hakuna jambo lolote utaweza kumfanya and she doesn't even care...!


Achana naye jipange upya kaa chini utafakari ni wapi ulipokosea .. makosa mengi nishakueleza hapo juu

Hujiamini, huna msimao, hujiheshimu...

*Kutokujiamini kwako kunamfanya mwanake awe
Dominant kwenye mahusiaon yenu ...

na ndio maana unaona anakupangia hadi muda wa sex pamoja na masharti mengine ambayo hujayaandika hapa laikini najuwa yapo!

*Kutokujiheshimu kwako ndio kunamfanya akose heshima na kukujibo hovyo hovyo!


*kukosa kwako msimamo kunakufanya ushindwe kujuwa nini cha kufanya au hata kama unajuwa huwezi kufanya maamuzi

Hii ina mpa jeuri kukuendesha wewe atakavyo!
Sifa nyingine ya mwanaume wa zama hizi ni kutumia viungo vyako ikiwemo mdomo kutafuta/kutongoza siyo wanakuletea,watakuletea na ngedele
 
Tafuta hela, heshima itarudi. Hapo kuja kijeba kinamkuna hadi hana hamu na wewe. Amka kijana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom