Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,597
Hahahahah wanawake huwajui wewe, mwanamke anaeza akakufyatua tu as jinsi anavyojiskia anytime anywhere.Swala gumu Sana Kwa wanaume Ni kujua kwamba hata Kama umeoa; ili mwanamke akupe unyumba Lazima awe Kwenye pick ya Furaha, ndo maana wanandoa wengi tu wanabakana!
Kufurahia unyumba Kwenye ndoa Ni Matokeo ya maisha ya Amani ya ndoa; ndivyo wanawake walivyoumbwa na sio kosa Lao; kabisa: ili mwanamke awe na amani:
- Hatakiwi kuwaza au kuwaza kuhusu maitaji, ndo maana wanaume Lazima tujitosheleze, sio pesa nyingi Sana, kujitosheleza tu.
- Usiwe na gubu na Ma ugomvi yasiyoisha, epusha kabisa, ukiona huwezi maisha ya Amani na mwanamke hata Kama ana matatizo, mpuuze au tafuta mwingine, WANAMLA tu!
Imagine mtu kasafiri kakupigia mnaongea unaliza kafika wapi, anakujibu mnaongea freshi. Kwa upendo tu wauliza mtoto vipi hasumbui kulia lia...
”Ungetaka kujua si ungepiga simu?”
Kwa kauli kama hio ilioulizwa ka tone ya kejeli unakuwaje na furaha.