Pia kama kijiji chako hakipo kwenye Google map unaweza kufanya add +pictures za sehemu za kijiji au mtaaa au shule then Google watafanya review then wata publish
Vipi wadau,mimi ni mwenyeji wa arusha mjini, naomba mwenye kufaham hospitali ya private hapa arusha ambapo ntaweza kufanya full body check up...na gharama pia kama utakuwa na idea...
Sababu ni kwamba nipo likizo nimeona ni muda muafaka wa kucheck afya yangu.asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.