Recent content by msakamali77

  1. M

    Darassa hii sasa too much, Wimbo wa 'Muziki' umetikisa Bongo nzima

    Kilichompa kick ni yule dereva
  2. M

    Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

    Endeleza mkuu....hadi nimesahau kula msosi umekuwa wa bard kama vile uliwekwa kwenye fridge
  3. M

    Ushauri wa bure kwa Rich Mavoko

    Wewe mwenyewe unazo shida kibao....tatua zako kwanza
  4. M

    Darassa hii sasa too much, Wimbo wa 'Muziki' umetikisa Bongo nzima

    Darasa ndo nani kwanza...hajulikani hata uganda
  5. M

    Teknolojia gani hutumika kupiga picha za dunia 'Google Satellite Picture'

    Pia kama kijiji chako hakipo kwenye Google map unaweza kufanya add +pictures za sehemu za kijiji au mtaaa au shule then Google watafanya review then wata publish
  6. M

    Naenda Arusha

    Arusha tourist inn 45,000 Meter chache toka stand kubwa
  7. M

    Hospitali nzuri arusha

    Asante ...nilifanikiwa kwenda st thomas....nilihudumiwa vizuri
  8. M

    Hospitali nzuri arusha

    Vipi wadau,mimi ni mwenyeji wa arusha mjini, naomba mwenye kufaham hospitali ya private hapa arusha ambapo ntaweza kufanya full body check up...na gharama pia kama utakuwa na idea... Sababu ni kwamba nipo likizo nimeona ni muda muafaka wa kucheck afya yangu.asanteni
  9. M

    Sakata la Dangote: Ukweli unapodhihiri dhidi ya hila za Mengi kwa Prof. Muhongo

    Kiwanda kipya kinafanyiwa matengenezo???? What a shame
  10. M

    Kwanini wajue kero za Majiji yanaongozwa na Upinzani tu? Majiji yanayoongozwa na CCM Hakuna kero?

    Umaarufu gani uliokuwepo arusha na sasa hv haupo..... Tupe Facts mkuu
Back
Top Bottom