Recent content by msakahabari

  1. M

    Kwanini ndege ya Malyasia ishindwe kupatikana....?????

    Akueleze ndege ilipo kwani yy ndo anatafuta hiyo ndege, we wa wapiiiiiiii?
  2. M

    Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

    Huna tatizo dada yangu, ila kinachokusumbua ni saikolojia, usiliwazie hilo tatizo lako unapokuwa na partner wako then utaona mabadiliko. Sometime inatokea unawaza unatatizo fulani then tatizo linakuja kweli.
  3. M

    Naombeni msaada upele unaniwasha

    Kaoge maji ya bahari
  4. M

    Ushauri - Hospitali ya kujifungulia

    Acha woga miela yote ya nini hiyo, nenda kajikunje mwenyew hospitali za serikali.
  5. M

    Kujichua/puli ( musterbetion)

    "nimekuwa msaarifu si kumbuki vitu ambavyo navifanya hata kidogo" Ndo mana hata jinsia yake nayo amesahau.
  6. M

    Nina tatizo la uume kusimama mara kwa mara?

    Mikaranga mnayokesha nayo hiyo mkila
  7. M

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    Kuna watu wanapenda sana kufarijiwa na vitu vya kijinga, huu ni uwongo lakini wanavyoamini utafikir kweli.
  8. M

    Jaman Kukosa Ajira Huku...

    Kumbuka uchaguzi ulikuwa 2010 kwa hiyo subiri sasa utapata maana uchaguzi mwaka ujao na lazima watoe ajira
  9. M

    Habari njema kwa wenye vibamia

    Some facts you may not know about the human Vagina: The pleasurable nerves are only located on the outer one third of the vagina – any deeper and she’s not feeling it anyway. The average vagina is only 4 inches deep, but it can stretch quite a bit. Average vaginal width is 2-3 inches Many...
  10. M

    Usemi wa leo. Ongezea na semi zako

    Mwanamke maziwa, makalio hata baba anayo
  11. M

    Toto tukutu.

    Ukiwa na mtoto wa aina hii shukuru mungu kwa maana aliona kitu kichafu akachukua maamuzi ya kuosha. Kuwa mpole mwelewesha siku nyingine hatorudia
  12. M

    Mapenzi kwa Hisani ya Whatsapp

    Unafikiri wamekuja kutangaza injili duniani?
  13. M

    Nataka Kushika Mimba...msaada

    Dada yangu pole sana. Unachotakiwa kufanya ni hiki, ki-biologia mwanamke anauwezo wa kushika mimba kipindi cha uvolation (Yai linapohama kuja sehemu ya uzazi). Siku hizi ambazo ni hatari ukifanya basi unauwezekano mkubwa tuu wa kushika mimba ila kama utakuwa na matatizo ya kufunga kwa mirija ya...
Back
Top Bottom