msakahabari
Member
- Jul 6, 2012
- 29
- 8
Kumbuka uchaguzi ulikuwa 2010 kwa hiyo subiri sasa utapata maana uchaguzi mwaka ujao na lazima watoe ajiraJaman kukosa kazi huku kunanichelewesha mambo mengi kama kuolewa, nyumba, gari na biashara hadi inaniopunguzia idadi ya watoto, heh.
Hatari kubwa sana, tokea 2011 niko mtaani.