grade c students (normal learners) hawa hawapo talented kama grade A learners, hutumia nguvu nyingi na kusoma kwa bidii ili wafaulu ufaulu wao hutokana na kusoma sana pia ni waoga sana kufeli na hua makini mno...hii pia inawezekana ikawasaidia kisaikolojia hata kufanikiwa katika harakati za kimaisha
sikuhizi hata kwenye madaladala wanapeana umbea kujichekesha kwa sauti makelele bila aibu wala kujali kuwa wapo kwenye usafiri wa umma...SIWAPENDI HAWA!..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.