Walimu wa arts mmekubali matokeo kirahisi

Walimu wa arts mmekubali matokeo kirahisi

Maisha ni zamu kwa zamu sisi walimu wa art hatuna kazi leo lakini nao tutawafanya wanasiasa wa art 2020
 
Tuliopo kazini tunaujua ukweli halisi juu ya wingi wa walimu wa Arts. Kwa taratibu za serikali, mwalimu anapaswa kuwa na vipindi minimum 24 maximum 28 kwa wiki sasa walimu wa Arts wengi wana vipindi 9 hadi 12 kwa wiki
 
Sasa unataka tufanyaje Mkuu....tunasubiria tamko la wizara kuhusu siye waalimu Wa arts
 
Ajira zipo nyingi tu alafu huu mfumo wa serikali utazalisha innovation za mambo mambali ikiwemo ujasiriamali na wengi watafanikiwa siyo tu kukaa kusubiri ajira napia utazalisha malofa wengi
 
Ndalichako ndio alisema walimu wa arts hawaajiliwi au hilo tamko lako
 
Samahani.
1.Je, kuna mkataba wowote hapa Tanzania kati ya mwanafunzi na serikali juu ya elimu na kazi/ajira.
2.Seikali haiajiri ili tu kumridhisha mwajiriwa bali huajiri ili kuboresha huduma na kuangalia penye uhitaji mkubwa zaidi,mf.Mzazi hawezi kumnunulia mtoto kila kila kitu kwa wakati ilhali uchumi haumruhusu,atakachofanya ni kuangalia wapi pamepunguka zaidi ,au wapi panahitaji uharaka zaidi.
3.Serikali huwa ina sera maalumu ,kwa muda maalumu, hivyo si vyema kuendelea kuitaka serikali iendane na matakwa ya kila mtu/mwananchi.
 
Kwa walio soma kwa mkopo hamuoni hiyo ni fursa ya kusamehewa deni
 
Kiukweli awamu hii ni komesha kuna jamaa jirani yangu nilikua namwambia twende tukalime kijijini anasema eti hawezi kulima ajira mwezi 2 tu na amesoma arts sasa naogopa kumuulizia asije sema namjoke
 
Ni vizuri kujiajiri zaidi kwa kuwa utakuwa na Uhuru wa kufanya mambo yako bila kusumbuliwa ,naamini miaka ijayo tutakuwa na matajiri wengi waliosoma masomo ya arts
 
Back
Top Bottom