Nawasihi walimu msigome hiyo kesho

Nawasihi walimu msigome hiyo kesho

Kilichosemwa ni mgogoro na serikali na sio mgomo.Msilolijua ni usiku wa kiza tena kinene hasa.Acheni kutoa povu bure.
 
Kazini kazi ni kama kawaida.Ila nilijifunza kwamba ukimya ni zaidi ya ufumbuzi wa jambo.Acheni tufanye kazi.
 
Wataanzia wapi kugoma
Mwita we need to be positive wakati fulani. Tusijione kama we are cursed. Tuache woga. Kuna mahali mwanzo unapatikana. Just imagine kama Yesu angeogopa kusulubiwa mimi na wewe tungeokolewa? Wewe jina unalotumia linamaanisha unajua lisaro si ndiyo? Sasa ujasiri uanzie hapo
 
Kuna mgomo kweli? Au umekuja na hizi porojo ili tusahau mambo ya bwana DAUDI ALBERT BASHITE! Mimi siwezi sahau mpaka atumbuliwe.
Huyo mtu wako hana ujanja wala boss wake hana ujanja na waziri mkuu anajua kwamba post yake iko hatarini. Maana kuna vote of no confidence bungeni. Je yuko tayari?
 
Walimu wenzangu, hakuna haja ya kugoma kwa sababu ni sawa na kukata tawi la mtiulilokalia. Tafadhali sana hususani vijana wenzangu tunatakiwa tutambue kuwa UALIMU NI WITO!
Huyu atakua Bashite wewe! Kweli kabisa umeenda shule? Umesoma kwa mkopo na leo unakatwa asilimia 45 ya salary bado unasema walimu ni wito ?? Duuu ya walimu kweli tuwaachie wenyewe
 
Acha kupotosha umma, kama kweli wewe ni mwalimu basi Taifa lina hasara, taarifa kuwa kesho walimu wanagoma umezitoa wapi, mwalimu hujui tofauti ya mgogoro na mgomo?

Una haki ya kuitwa mwalimu.
Sawa mwanafunzi wangu naona umekua sasa na maisha yanakupiga,pole sn ila usimalizie hasira za ugumu wa maisha hapa we pambana utafika tu kama sie walimu wako
 
Mmh ila saa zi ngine nikikumbuka kwamba chama cha walimu eti kilitoa bil 5 kuisaidia ccm kampeni!!! Hapo naomba Magu awanyoooshe kisawasawa wabaki na salary elf 55 nyambaaafu
 
Huyu atakua Bashite wewe! Kweli kabisa umeenda shule? Umesoma kwa mkopo na leo unakatwa asilimia 45 ya salary bado unasema walimu ni wito ?? Duuu ya walimu kweli tuwaachie wenyewe
Dawa ya mkopo ni kulipa ndugu najua ni chungu hii ila meza tu maana ndo dawa yake
 
Wa kugoma mwalimu!! Aharibu haiba yake, never!
 
Mwita we need to be positive wakati fulani. Tusijione kama we are cursed. Tuache woga. Kuna mahali mwanzo unapatikana. Just imagine kama Yesu angeogopa kusulubiwa mimi na wewe tungeokolewa? Wewe jina unalotumia linamaanisha unajua lisaro si ndiyo? Sasa ujasiri uanzie hapo
Yesu hakusulubiwa
 
Wewe wacha zako hizo
Wana experience?Msije mkatuletea walimu aina ya Daudi kumfundisha watoto wetu. Qualified and experienced teachers ndo wanastahili; ama muwalipe au wagome tu
kwani kuna mtumishi alizaliwa na experience?
 
Sawa mwanafunzi wangu naona umekua sasa na maisha yanakupiga,pole sn ila usimalizie hasira za ugumu wa maisha hapa we pambana utafika tu kama sie walimu wako
Sawa mwl usie jielewa, acha kufuata mkumbo kwa jambo usilo lijua, tafuta mwakilishi wako wa CWT akuelekeze tofauti ya mgogoro na mgomo.
Over....
 
Walimu wenzangu, hakuna haja ya kugoma kwa sababu ni sawa na kukata tawi la mtiulilokalia. Tafadhali sana hususani vijana wenzangu tunatakiwa tutambue kuwa UALIMU NI WITO!
Tanzania bado hakuna watu wenye uwezo wa kugoma , hao walimu mwaka wa kumi sasa kila siku wanatangaza siku ya mgomo na hakuna kinachotokea
 
Back
Top Bottom