Kanisa ni moyo wako na ukiwa smart enough komaa na ubatizo mmoja nikiwa na maana kuwa kanisa ulilobatizwa. Point note fuata maandiko sio matendo ya mtu maana hakika kuna manabii na mabango kibao utadhani waganga wa jadi.
IRDP inauza kwa faculty zingine ila sio finance. Mi nimesoma IRDP na usaili wangu ulikutanisha wasomi wa vyuo mbalimbali kuasi cha kuhisi napoteza mda kwenye usaili ila mwisho wa siku mtoto wa mkulima nikapata kazi.
Ifm na udsm kuna upendeleo wa siku nyingi sana na ukiangalia sana utajua hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.