Recent content by mrtanzania

  1. M

    Bodi ya Mikopo kufanya hivi ni ukata au ni adhabu

    Pigeni 8% ya mshahara wako then uone kama baada ya miaka 10deni litaisha. Nakumbuka Walio wengi wanadaiwa zaidi ya 12-15mln
  2. M

    Mtwara: Mkuu wa Mkoa atumbua walimu wakuu 63

    Hao watu siwapendi na sijui chama cha wafanyakazi wanafanya nn?
  3. M

    Huyu mwanamke ametuaibisha

    Huyo tabia zake ndo zimefanya jamaa amkomoe kwa kutupia picha zake za uchi huenda atajirekebisha na kumrudia mungu
  4. M

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Kanisa ni moyo wako na ukiwa smart enough komaa na ubatizo mmoja nikiwa na maana kuwa kanisa ulilobatizwa. Point note fuata maandiko sio matendo ya mtu maana hakika kuna manabii na mabango kibao utadhani waganga wa jadi.
  5. M

    Zifuatazo ni bei ya bidhaa za Chakula katika maeneo mbali mbali Tanzania,

    Inategemeana na mikoa. Ila kwa iringa mahindi gunia ni 80000 hadi 100000 na ni kawaida kwa miezi hiiii
  6. M

    Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

    Katika mtandao unaonikera kwa kutuma pesa basi tigo. Sinahamu nao
  7. M

    Jamani hali ya mahindi ndo hiyo kuna chakula hapa?

    Smartphone usipokuwa makini kuandika matusi itakuwa jadi
  8. M

    Waajiri (serikali na binafsi) acheni kuvipendelea vyuo vya IFM na UDSM katika ajira

    IRDP inauza kwa faculty zingine ila sio finance. Mi nimesoma IRDP na usaili wangu ulikutanisha wasomi wa vyuo mbalimbali kuasi cha kuhisi napoteza mda kwenye usaili ila mwisho wa siku mtoto wa mkulima nikapata kazi. Ifm na udsm kuna upendeleo wa siku nyingi sana na ukiangalia sana utajua hata...
  9. M

    Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

    Heshima ya degree inarudi sasa japo ajira shidaaa
  10. M

    Tuhuma nzito za Mange zisizo na ushahidi dhidi ya Rais, anafanya sawa?

    Tambueni issue haina ushahidi na kama alikula sumu je maiti itafukuliwa
  11. M

    Msaada: Kuhusu hela iliyotumwa M-Pesa kwenda bank na haikufika

    Wambie washitishe hizo pesa zilirudi m.pesa. na huo ni wizi unaofanywa na haya makampuni
  12. M

    Kuongezeka kwa mashoga Dar, nini kifanyike?

    Mwambie makonda mbona anakomaa na watumishi huku mashoga wanaongezeka mitaani
  13. M

    Jamani Wachagga mbona mnatutesa hivi hapa Ubungo Terminal?

    Hatujawahi kukosa kwenda hivyo subiria
Back
Top Bottom