hivi DIT nao wanatoa masomo ya Finance siku hizi?Kwa perfomance kama mi mwajiri naanza na mwanfunzi wa DIT then Ardhi afu Udsm vyuo vingine mbwembwe tu
hivi DIT nao wanatoa masomo ya Finance siku hizi?Kwa perfomance kama mi mwajiri naanza na mwanfunzi wa DIT then Ardhi afu Udsm vyuo vingine mbwembwe tu
so walio ajiriwa wengi ni wadada? kutoa chupi ni mtu kapenda mwenyewe after all issue za chupi kila chuo zipoIFM wanatoa sana degree za kuvuliwa chupi kwa wadada
nitafute inbox nikupe maelekezo mazuri kama upo serious. mm nipo jikoniOk sasa nimeamua kusoma postgraduate diploma either IFM au UDSM maana kwa mtindo huu duh, je wanakubali MTU wemye GPA ngapi? Najua lazima kuna vigezo
Yeanitafute inbox nikupe maelekezo mazuri kama upo serious. mm nipo jikoni
kabisaIRDP inauza kwa faculty zingine ila sio finance. Mi nimesoma IRDP na usaili wangu ulikutanisha wasomi wa vyuo mbalimbali kuasi cha kuhisi napoteza mda kwenye usaili ila mwisho wa siku mtoto wa mkulima nikapata kazi.
Ifm na udsm kuna upendeleo wa siku nyingi sana na ukiangalia sana utajua hata wanaosoma huko wengi ni dvsn one advance.
Comedown bro Mungu hajakutupa ipo siku utapata kazi tena usioidhania.
Unakumbuka 2012 Kashfa ya Lectures wa IFM kutoa pepa.halafu wanafunz flan wakaenda kusema kwa Dean jamaa walifukuza Lectures kama 7 hiv
Watanzania nyiekwanyie mnapondana katika elimu,je unategemea elimu yenu itakuwa accredited na watu wengine?mtaishia kulalamika ajiraajira mwisho mnakufa na pressureSio kweli. Huwezi zidi uwezo mwanafunzi wa UDSM.... Ukiwa na firts class vyuo vingine ni sawa 2.7 ya Ud...
Who are you?Huwa tunaangalia competence of a person siyo sura wala jina la chuo.
Mkuu hiki kina weza kuwa kigezo cha kusema wasomi wa UD hawafai kwani ndio hao wanao fundisha kwenye hivyo vyuo vingineVijana wa huko kwingine huwa wazito sana...
Niniumecrame
Mkuu je Mzumbe?Kazini kwangu nimeajiriwa now nina mwaka. Nimebahatika kuwa karibu sana na boss wangu hatimae tumekuwa washkaji. Juzi ndo alikuwa ananiambia aksema namnukuu "frankly speaking tangu nimekuwa boss hapa mwaka 2013 mpaka hawa niliowaajiri jana, wanafunzi wanaotoka IFM na UDSM huwa wana perform vizuri sana katuka interviews na hata kazini kwenyewe" Alidiriki kabisa kuvitaja majina vyuo kama UDOM na CBE kwamba product zake zinampaga shida sana. "Anaweza akaja mtu wa UDOM kwa muonekano wake ukajua atakuwa smart sana lakini ukifanya nae conversation unachoka. Wa CBE wengine hata kujieleza hawawezi. Hata baadhi ya basic computer programs hawawezi kuzitumia." Na akasema kabisa bila chenga kwamba ameshawishika kuwa anawa consider zaidi wanafunz wa UD na IFM. Hii kampuni ipo mkoani. Na huku mkoani kuna vyuo pia. Lakini always candisates wa UD na IFM are the best! Sasa nyie mnaokazana kuonesha umahili wa kuponda vyuo na kutoa povu shauri yenu! Washaurini wadogo zenu wakasome UD au IFM japo sijui kama watafanikiwa kuhitimu maana ule mziki kama huuwezi hata semister moja haiishi!
NB: Kuonekana unajua sana kuiponda UDSM au IFM hakutakupa ajira kirahisi! Kama una kabachela chukua hata post graduate diploma UDSM au IFM upigwe msasa na uvutie waajiri. Kujaza maneno ya kashfa kwa hivi vyuo hakutabadilisha ukweli.
HahahaKwahyo na mwanafunzi wa UDOM anataka awe sawa na mwanafunzi wa UDSM? hahahahhahahaha
Katafute sababu ya kuanzishwa kwa IFM.
Nikweli Mkuu, muhimu bidii katika kazi.Soma kozi ambazo hazipatikani UDSM wala IFM tuone watapendelea vipi, hahahah! Nendeni mkasome ARU, tuone utapendeleaje wakati fani inapatikana chuo kimoja tu..., hahahah