True legacy
Member
- Dec 16, 2016
- 76
- 43
Kuna watu wana furaha tena tele wakiona namna bodi hii ikitoa matamko dhidi ya wadaiwa wa mikopo, tena kwa karaha ni kweli ni haki yao lakini musumeno hukata pande zote leo wao kesho kwako, haki za watu zizingatiwe,siyo kwa namna hii.
kwa wadahiliwa wa mwaka 2006 mpaka 2012 naamini walijaza fomu zenye mashariti sawa, nitaomba wenye hiyo mikataba au kopi zake wasome vinzuri na washee hapa vifungu hivyo, ili tutafute haki.
nakumbuka mdogo wangu mmoja alinipatia huo mkataba na moja ya vipengelee vilivyokuwemo ni pamoja na mkopaji atalipa deni ndani ya miaka 10 baada ya kumaliza chuo, deni hilo halitakuwa na riba , mkopaji atarejesha sawa na kiasi alichokopeshwa na kwa makato ya 8% ya gross salary na mkopaji atalipa mara baada ya kupata ajira.
hii ya kuongeza kiasi cha makato kinatoka wapi?,
ni sheria ipi ya fedha inayomuongezea makato mkopaji baada ya kuingia mkataba?. wenye mikataba hii tusaidiane kuisoma vinzuri, mnyoge mnyoge haki yake mpeni. watu wanadaiwa mamillioni ya shillingi mara mbili na zaidi alichopewa hawana kazi, madeni ya yanaongeza kila kukicha na wanasakwa, hapana hii siyo sahihi, wanasheria na nyie mnadaiwa na hii kazi yenu tafute haki za wezenu ukimya hausaidii. Nchi hii ni yetu sote tusioneane kulinda vyeo.
kwa wadahiliwa wa mwaka 2006 mpaka 2012 naamini walijaza fomu zenye mashariti sawa, nitaomba wenye hiyo mikataba au kopi zake wasome vinzuri na washee hapa vifungu hivyo, ili tutafute haki.
nakumbuka mdogo wangu mmoja alinipatia huo mkataba na moja ya vipengelee vilivyokuwemo ni pamoja na mkopaji atalipa deni ndani ya miaka 10 baada ya kumaliza chuo, deni hilo halitakuwa na riba , mkopaji atarejesha sawa na kiasi alichokopeshwa na kwa makato ya 8% ya gross salary na mkopaji atalipa mara baada ya kupata ajira.
hii ya kuongeza kiasi cha makato kinatoka wapi?,
ni sheria ipi ya fedha inayomuongezea makato mkopaji baada ya kuingia mkataba?. wenye mikataba hii tusaidiane kuisoma vinzuri, mnyoge mnyoge haki yake mpeni. watu wanadaiwa mamillioni ya shillingi mara mbili na zaidi alichopewa hawana kazi, madeni ya yanaongeza kila kukicha na wanasakwa, hapana hii siyo sahihi, wanasheria na nyie mnadaiwa na hii kazi yenu tafute haki za wezenu ukimya hausaidii. Nchi hii ni yetu sote tusioneane kulinda vyeo.