Ninachojua verified Instagram wanakupa wenyewe na kuna vigezo huwa najua wanaangalia. Kama ingekuwa inapatikana kirahisi hivyo basi watu wengi wangekuwa nayo. Na hasa wasanii, Watu wa 2.16m na kuendelea...uje upate kirahisi hivyo..
Mimi yangu tatizo ninaloliona ni la 09/ haya mengine kwangu mapya. Na tecno yangu ipo vizuri tu.#achananacmfake na natumia #Gosms kwa hivyo hiyo changamoto nimelitatua..
Sasa wakati wa kuchepuka. Mara unapata kale kagonywa pendwa, sijui uzee utaulia wapi ...mkeo ataondoka na utamu wake natania bwana endelea tu kuchepuka....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.