Recent content by Mringa

  1. M

    Tanzania to Tender nine PPP Transportation Projects

    But there appear 8 projects and not 9 as stated. please which is the nineth?
  2. M

    Matibabu Nchini India "Si Lolote!, Si Chochote!, ni Biashara Zaidi!.

    mie ndugu yangu ameenda amrudi kwenye sanduku. Kupona ni majaliwa.
  3. M

    We Are Building For You

    pererge naona umepotoka, maana yake ni kuwajulisha watanzania hasa wana dar es salaam kuwa ujenzi wa barabara unaendelea,na kwamba mradi huo ni wao. sioni kama kuna tatizo lolote hapo.
  4. M

    22 wafukuzwa Nyegezi Seminary kwa tuhuma za ushoga

    Hapa ni lazima kutofautisha ulawiti na ushoga, kwani si mashoga wote wanalawiti(wa) na wala si watu wote wanaolawiti ni mashoga, ingawa vitu hivyo vina mpaka mwembamba sana.
  5. M

    Safu ya Uongozi (CHADEMA) vyuo vikuu ni hii

    kwanza nina uhakika watu hao hawapo. total mockery!!! Jamaa ameamua kuwa mchekeshaji, nenda ze komedy.
  6. M

    ITV yaanika kila kitu na ushahidi wa kutosha kuhusu mauaji ya mwandishi huko Iringa

    Poor reasoning capacity!! Hivi kuwa mwanachama wa CDM au chama kingine cha upinzani ni uhaini Hapa Tanzania? Ni nani aliyewapa polisi leseni ya kuua raia badala ya kuwalinda?? Mie nafikiri pamoja na mitizamo yetu tofauti kwa hili ni lazima tujue kwamba uhai wa binadamu umeondolewa kimakosa na...
  7. M

    Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

    Mhhhh!! Everybody for himself, God for us all. Hii haiwezekani ikawa kweli.
  8. M

    Ugonjwa wa Kusahau/Kupoteza Kumbukumbu: Dalili, Tiba na Ushauri wa Kukabiliana na Hali Hii

    Asante kwa maelezo tutajaribu, lakini hilo la nywele naona litakuwa gumu. Naomba nielimishwe Halilaji ndio nini?
  9. M

    Ugonjwa wa Kusahau/Kupoteza Kumbukumbu: Dalili, Tiba na Ushauri wa Kukabiliana na Hali Hii

    Baba yangu ana umri wa miaka zaidi 80 na ameathirika na ugonjwa wa kusahau hata watoto wake. Inafikia mahali mtoto wake wa kumzaa anajieleza kuwa mimi ni fulani halafu yeye anamuuliza; fulani wa nani. je atumie dawa gani ili aweze kupona ugonjwa huu?
  10. M

    Tanzania to become eighth largest Uranium producer in the world

    Very soon we will be number one producer of uranium considering the ongoing exploration in the central zone. of importance!! who is the beneficiary of all this? Vp mikataba imekaaje, hilo ndilo jambo la msingi not the quantity of the available uranium.
  11. M

    Zitto: Tunaomba radhi kwa mapungufu yaliojitokeza

    Maana ya figure ya kwanza ni; 11,889,078,000,000/= naomba jaribu kuisoma hivyo.
  12. M

    Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

    The meaning of words is in pepole themselves, nafikiri alikuwa akimaanisha zile attack ni za kikazi zaidi kuliko personal. hii ni kawaida hata maofisini watu wantofautiana kikazi lakin they dont take it personal.
Back
Top Bottom