pererge naona umepotoka, maana yake ni kuwajulisha watanzania hasa wana dar es salaam kuwa ujenzi wa barabara unaendelea,na kwamba mradi huo ni wao. sioni kama kuna tatizo lolote hapo.
Hapa ni lazima kutofautisha ulawiti na ushoga, kwani si mashoga wote wanalawiti(wa) na wala si watu wote wanaolawiti ni mashoga, ingawa vitu hivyo vina mpaka mwembamba sana.
Poor reasoning capacity!! Hivi kuwa mwanachama wa CDM au chama kingine cha upinzani ni uhaini Hapa Tanzania? Ni nani aliyewapa polisi leseni ya kuua raia badala ya kuwalinda?? Mie nafikiri pamoja na mitizamo yetu tofauti kwa hili ni lazima tujue kwamba uhai wa binadamu umeondolewa kimakosa na...
Baba yangu ana umri wa miaka zaidi 80 na ameathirika na ugonjwa wa kusahau hata watoto wake. Inafikia mahali mtoto wake wa kumzaa anajieleza kuwa mimi ni fulani halafu yeye anamuuliza; fulani wa nani. je atumie dawa gani ili aweze kupona ugonjwa huu?
Very soon we will be number one producer of uranium considering the ongoing exploration in the central zone.
of importance!! who is the beneficiary of all this? Vp mikataba imekaaje, hilo ndilo jambo la msingi not the quantity of the available uranium.
The meaning of words is in pepole themselves, nafikiri alikuwa akimaanisha zile attack ni za kikazi zaidi kuliko personal. hii ni kawaida hata maofisini watu wantofautiana kikazi lakin they dont take it personal.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.