ACHA UONGO,KAMANDA ANAYEONGOZA CHADEMA MWENGE NI LAYZER SIMON,SIJUI HUKO KWINGINE.KADHALIKA UONGOZI WA MATAWI YA CHADEMA HUPATIKANA KILA MWAKA NA SI MIAKA MITANO.YOU ARE A LAYER
Kumbe mmepewa ili msambaze hivyo bila kuwa na uhakika na ndo mana mwenzio (Tandaleone) ka-post muda mrefu na wewe bila kujua umepost tena... Mwambieni aliewatuma kuwa SASA HIVI HATUDANGANYIKI TENA...!!
wakuu eti Chelsea anacheza leo?
mkuu mi nimeikuta facebook nia yangu ni kuwahabarisha wenzangu sijapewa na mtu.acha kukurupuka
arifu niwekee yutyubu aisee nione.....hivi matokeo ya wikiend iliyopita yalikuwaje?
-ila nilifurahishwa sana na kufungwa kwa man u..
Aseee hii ni hatari kwa ustawi wa chama
arifu niwekee yutyubu aisee nione.....
Ulisikia ile nyumba pale kijitonyama imebomolewa?