Ugonjwa wa Kusahau/Kupoteza Kumbukumbu: Dalili, Tiba na Ushauri wa Kukabiliana na Hali Hii

Mkuu.@Mringa
Baba yako kutokana na umri aliokuwa nao si Rahisi kupona ila ajaribu
dawa zangu hizi za Tiba

Mbadala huenda zikamsaidia . Atwange Dawa moja inayoitwa
Halilaji achanganye na Asali Safi
mbichi ya nyuki


kijiko kimoja kikubwa awe anakunywa kila siku katika maisha yake. Au
Apate Mafuta ya siku nyingi ya

Zaituni ajipake nyuma ya kichwa upande wa
kichogoni awe anajipaka kila siku inasaidia sana hayo mafuta ya
Zaituni ya siku nyingi

kupoza ugonjwa wa kusahau. Au achome nywele za Binadamu
katika moto kisha uvute ule moshi au mvuke

wake hii itamsaidia kuondosha ugonjwa wa ahau. Na ingine awe anakula
Sana Figili na Samli Safi ya Ng'ombe.

itamsaidia kuondosha ugonjwa sahau. Au ale Zabibu kavu kwa wingi kila
siku hiyo pia itamsaidia kuondosha huo ugonjwa wa Sahau.

Mbona hiyo ya nywele za binadamu imekaa "kiganga" zaidi!
 
Mi naogopaga nitamuota siku moja! Sasa nywele za mhanga ama za mwanae?
Hii hospitali yake mie ni nurse (The Secretary to meneja), ila huwa sielewi kama tunafanya ulozi ama?
Mkuu King'asti nywele hata za majalalani ili mradi ziwe nywele zilizo katwa zikiwa hizo nywele ni za kiume au ni nywele za kike hata zile za kinyozi alizozitupa zinafaaili mradi ziwe nywele tu ndio dawa yenyewe bibie. Dawa Zangu hakuna Ma Hospitalini Mzee LEGE upooooooooooooooo na mimi?
 
Mkuu King'asti nywele hata za majalalani ili mradi ziwe nywele zilizo katwa zikiwa hizo nywele ni za kiume au ni nywele za kike hata zile za kinyozi alizozitupa zinafaaili mradi ziwe nywele tu ndio dawa yenyewe bibie. Dawa Zangu hakuna Ma Hospitalini Mzee LEGE upooooooooooooooo na mimi?

Mweeh! Haya ngoja na mie nichukue rasta walizotupa jalalani nianze kujifukiza manake nasahau hadi nnaowadai! Umesema dozi ni kilo ngapi za nywele Mara tatu kwa siku tano?
 
Mkuu King'asti nywele hata za majalalani ili mradi ziwe nywele zilizo katwa zikiwa hizo nywele ni za kiume au ni nywele za kike hata zile za kinyozi alizozitupa zinafaaili mradi ziwe nywele tu ndio dawa yenyewe bibie. Dawa Zangu hakuna Ma Hospitalini Mzee LEGE upooooooooooooooo na mimi?

Kwa hili la nywele lipo ki giza gizasana sasa mkuu mzizimkavu hata zile nywele za Down Town utasema zina faa?
 
Asante kwa maelezo tutajaribu, lakini hilo la nywele naona litakuwa gumu. Naomba nielimishwe Halilaji ndio nini?
Mkuu.@Mringa Baba yako kutokana na umri aliokuwa nao si Rahisi kupona ila ajaribu dawa zangu hizi za Tiba

Mbadala huenda zikamsaidia . Atwange Dawa moja inayoitwa Halilaji achanganye na Asali Safi mbichi ya nyuki

kijiko kimoja kikubwa awe anakunywa kila siku katika maisha yake. Au Apate Mafuta ya siku nyingi ya

Zaituni ajipake nyuma ya kichwa upande wa kichogoni awe anajipaka kila siku inasaidia sana hayo mafuta ya Zaituni ya siku nyingi

kupoza ugonjwa wa kusahau. Au achome nywele za Binadamu katika moto kisha uvute ule moshi au mvuke

wake hii itamsaidia kuondosha ugonjwa wa ahau. Na ingine awe anakula Sana Figili na Samli Safi ya Ng'ombe.

itamsaidia kuondosha ugonjwa sahau. Au ale Zabibu kavu kwa wingi kila siku hiyo pia itamsaidia kuondosha huo ugonjwa wa Sahau.
 
Mkuu Mzizi wa Mbuyu Kwani Dawa za kiganga zina ubaya gani Mkuu? Wapi kataika Dini kumeharamisha kufanya Tiba ya Uganga?

Dah!

Haya bwana, Njia yangu mie inakataza tiba za "kiganga!!"

Labda ungetuambia nini kinatoka kitaalamu baada ya nywele kuungua!!

Kama ni carbon au la na inasaidiaje ikiingia kupitia pua za binadamu!

Haya bwana!
 
Baba yangu ana umri wa miaka zaidi 80 na ameathirika na ugonjwa wa kusahau hata watoto wake. Inafikia mahali mtoto wake wa kumzaa anajieleza kuwa mimi ni fulani halafu yeye anamuuliza; fulani wa nani. je atumie dawa gani ili aweze kupona ugonjwa huu?

Atumie FOREVER GINKGO PLUS. Majani ya Ginko Biloba yenye flavonoid inayoimarisha mishipa ya damu na kuzuia isitanuke, huzuia vimbe, kuongeza kumbukumbu na utulivu, hupunguza athari za stroke na pumu. 0713348165 ni bidhaa za for https://www.jamiiforums.com/newthread.php
 
Baba yangu ana umri wa miaka zaidi 80 na ameathirika na ugonjwa wa kusahau hata watoto wake. Inafikia mahali mtoto wake wa kumzaa anajieleza kuwa mimi ni fulani halafu yeye anamuuliza;je atumie dawa gani ili aweze kupona ugonjwa huu?

Atumie FOREVER GINKGO PLUS. Majani ya Ginko Biloba yenye flavonoid inayoimarisha mishipa ya damu na kuzuia isitanuke, huzuia vimbe, kuongeza kumbukumbu na utulivu, hupunguza athari za stroke na pumu. 0713348165 ni bidhaa za forever living
 
Atumie vyakula vya wanga vyenye virutubisho vyote (Mfano: Brown bread -for breakfast, Brown rice, na ugali wa dona). Pia, kitafunio cha Ufuta ni kizuri sana. Vyakula hivyo husaidia kurudisha kumbukumbu. Muanzishie hivyo vyakula, halafu unipe feedback MRINGA.
 
Atumie vyakula vya wanga vyenye virutubisho vyote (Mfano: Brown bread -for breakfast, Brown rice, na ugali wa dona). Pia, kitafunio cha Ufuta ni kizuri sana. Vyakula hivyo husaidia kurudisha kumbukumbu. Muanzishie hivyo vyakula, halafu unipe feedback MRINGA.
Mkuu paparaz Umri aliokuwa nao hata akitumia chakula cha aina yoyote ile hakitoweza kumsaidia kupona mkuu miaka 80 na maradhi ya kusahau hawezi kupona.
 
Mkuu Mzizi wa Mbuyu Kwani Dawa za kiganga zina ubaya gani Mkuu? Wapi kataika Dini kumeharamisha kufanya Tiba ya Uganga?

Utumiaji nguvu za giza umekatazwa kwenye Kumbukumbu la Torati 18:10-12,

Neno la Mungu linasema hivi:-
"10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,​
11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.​
12 Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa Bwana; kisha ni kwa sababu ya hayo Bwana, Mungu wako, anawafukuza mbele yako."​
 
Utumiaji nguvu za giza umekatazwa kwenye Kumbukumbu la Torati 18:10-12,

Neno la Mungu linasema hivi:-
"10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,
11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.​
12 Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa Bwana; kisha ni kwa sababu ya hayo Bwana, Mungu wako, anawafukuza mbele yako."​
Hayo yote yaliyosemwa hapo ni Mambo ya Uchawi sio kumtibu mtu yaani Uganga. Kwanza kabisa ujuwe nini maana ya Uganga kisha ndio uzungumze hayo mengine? Uganga tunaweza kusema kwa lugha ya Kiswahili ni utabibu na ukiwa mtabibu huwezi

kuwa ni mchawi kuna mchawi na mtabibu tofautisha hayo mambo mawili kisha ndio uendele kuleta aya zako za biblia. Ukisema kuwa

utabibu pia ni uchawi basi hata Bwana Yesu alikuwa pia ni mchawi kwa sababu Bwana yesu alikuwa akiwatibu Watu kwa kuwaombea

kwa Mungu. Kutibu yaana kufanya uganga hakukuharamishwa katika Dini . Kuliko haramishwa ni kufanya mambo ya Ulozi mambo ya

Uchawi ndio kuliko haramishwa kwani hao Madaktari wanafanya Uganga wa kizungu je pia ni haramu ? na kuna watu wanafanya uganga

wa kienyeji kwa kutumia mitishamba jee pia ni Haramu? Jaribu mkuu kutofautisha kati ya Uganga na Uchawi ni vitu 2 tofauti kabisa.
 
.... Au achome nywele za Binadamu katika moto kisha uvute ule moshi au mvuke.

wake hii itamsaidia kuondosha ugonjwa wa ahau. .

Huu hapo kwenye RED ndio UCHAWI WENYEWE. Wachawi wanafanya procedure kama hizo za kuchoma nywele, kuchoma mavomba, kuchoma kucha za binadamu, kuchoma manyoya ya paka, kuchoma udi, n.k.

Yesu na Mitume wake waliponya kwa NENO LA MUNGU, sio kwa kuchoma nywele za binadamu na kuvita moshi wake, n.k.

Soma mifano hii hapa:-
  • Luka 05:12-13 inasema "12 Ikawa, alipokuwa katika mmojawapo wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejaa ukoma; naye alipomwona Yesu alianguka kifudifudi, akamwomba akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.
13 Naye akaunyosha mkono wake, akamgusa akisema, Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukamwondoka. "​
  • Yohana 05:06-09 inasema "6 Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?
    7 Yule mgonjwa akamjibu, Bwana, mimi sina mtu wa kunitia birikani, maji yanapotibuliwa; ila wakati ninapokuja mimi, mtu mwingine hushuka mbele yangu.
    8 Yesu akamwambia, Simama, jitwike godoro lako, uende.
    9 Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo.
 
Mi ningetamani dawa ya kusahau kuwa mi ni mtanzania, na Kikwete ndo rais wa nchi!
Dawa ya kusahau kuwa wewe ni M Tanzania jaribu kila siku unapo amka nenda baharini katizame maji ya bahari karibu saa nzima, na kila unapokwenda kuzika makaburini angalia majina ya marehemu kama 10 uwe unayasoma majina ya Marehemu Tarehe aliyozaliwa mwaka aliokufa fanya hivyo kila wakati kwa muda kama miezi 6 basi utasahau kuwa wewe ni MTanzania mpaka utamsahau Rais wako jaribu kisha unipe feedback. Usije tena ukasahau kutokunipa Feedback. mkuu GateCrasher
 
Huu hapo kwenye RED ndio UCHAWI WENYEWE. Wachawi wanafanya procedure kama hizo za kuchoma nywele, kuchoma mavomba, kuchoma kucha za binadamu, kuchoma manyoya ya paka, kuchoma udi, n.k.

Yesu na Mitume wake waliponya kwa NENO LA MUNGU, sio kwa kuchoma nywele za binadamu na kuvita moshi wake, n.k.

Soma mifano hii hapa:-
  • Luka 05:12-13 inasema "12 Ikawa, alipokuwa katika mmojawapo wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejaa ukoma; naye alipomwona Yesu alianguka kifudifudi, akamwomba akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.
13 Naye akaunyosha mkono wake, akamgusa akisema, Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukamwondoka. "​


  • Yohana 05:06-09 inasema "6 Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?
    7 Yule mgonjwa akamjibu, Bwana, mimi sina mtu wa kunitia birikani, maji yanapotibuliwa; ila wakati ninapokuja mimi, mtu mwingine hushuka mbele yangu.
    8 Yesu akamwambia, Simama, jitwike godoro lako, uende.
    9 Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo.
Mkuu Mu-Israeli Kuchoma Nywele sio mambo ya Ki Uchawi ni Dawa ya Ugonjwa wa kusahau mkuu. Unashangaa wewe Mimi Mtu Kumwambia achome nywele zake au nywele zozote zile ili zimfae kwa Dawa ya ugonjwa wa kusahau? Kuna Mtu alikuwa anakunywa Mkojo wake Mwenyewe ili apone Vidonda vya Tumbo na amepona kabisa hebu bonyeza hapa uone
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/203168-umetenda-maajabu-siwezi-kueleza.html Sasa huyu aliyekunywa mkojo wake Mwenyewe wewe utamwita ni mchawi? mkuu Acha Ulokole wako nenda jukwaa la Mambo ya Dini ukatangaze Ulokole wako kule.

Mkuu acha Mambo yako ya Ulokole au Uchungaji hapa tupo kwenye jukwaa la J.F Doctor ukitaka mambo ya Dini na Uchungaji nenda hapa https://www.jamiiforums.com/dini-imani/ Tuachie Mambo yetu ya Kutibu usilete mambo yako ya Udini hapa Tafadhali kama huna cha kujibu na kuchangia hoja bora pita njia tu mkuu. Ukiwezana wewe toa :Dawa yako samahani kama nitakukwaza.
 
Back
Top Bottom