Matibabu Nchini India "Si Lolote!, Si Chochote!, ni Biashara Zaidi!.

Watanzania wengi wanaenda hospital za kihindi uninformed...hawana full details au recommendation ya mtu aliyeenda kutibiwa tumbo wakati mimi naumwa kichwa. Lazima uhakikisho ya kuwa hiyo hospital aliyoenda ina ubingwa katika hayo matibabu unayotaka ni jambo la muhimu.

Chengine we are price conscious, sio hospital zote ziko juu...zile zenye matibabu ya kuaminika huwa ni expensive
 
Watanzania wengi wanaenda hospital za kihindi uninformed...hawana full details au recommendation ya mtu aliyeenda kutibiwa tumbo wakati mimi naumwa kichwa. Lazima uhakikisho ya kuwa hiyo hospital aliyoenda ina ubingwa katika hayo matibabu unayotaka ni jambo la muhimu.

Chengine we are price conscious, sio hospital zote ziko juu...zile zenye matibabu ya kuaminika huwa ni expensive
wewe Mtani (mzaramo) nini? "chengine" ndo nini?
 
Wanabodi,

Wimbi la Tanzania kuwapeleka wagonjwa wetu nchini India kwa matibabu, limeendelea.

Kwa vile mimi ni mmoja wa Watanzania niliotibiwa nchini, India, nakubali kuwa India inasaidia kwa baadhi ya magonjwa na gharama zake ni nafuu, lakini kwa magonjwa complex, India si lolote, si chochote, ni biashara tuu!

Nitaendelea.

Pasco.

ni magonjwa gani ambayo india inasaidia na yapi ambayo haisaidii. Kwa jinsi navokufahamu pasco sikutarajia ulete taarifa nusu nusu hivi
 
Wanabodi,

Wimbi la Tanzania kuwapeleka wagonjwa wetu nchini India kwa matibabu, limeendelea.

Kwa vile mimi ni mmoja wa Watanzania niliotibiwa nchini, India, nakubali kuwa India inasaidia kwa baadhi ya magonjwa na gharama zake ni nafuu, lakini kwa magonjwa complex, India si lolote, si chochote, ni biashara tuu!

Nitaendelea.

Pasco.

Acha kupotosha watu tafadhali, huwezi kulinganisha matibabu India na South Africa, gharama nafuu matibabu ya uhakika, kama unapeleka mgonjwa aliyefikia "tunamsikilizia" usitegemee India wana miujiza... Pia inategemea ni hospital gani India ulienda, tofauti yetu na India ni kuwa hapa tunakufa kwa "wrong diagnosis" unaenda hos unamuelezea daktari unavyojiskia anakuandikia dawa, lugha chafu na za kejeli mgonjwa hali inakuwa mbaya mnampeleka India..... India hakuna matibabu hadi wajue nini sababu ya hali uliyonayo pamoja na medical report ya unapotokea, vifaa na wasomaji makini wa vipimo, lugha nzuri kutoka kwa madaktari na manesi, matibabu ya uhakika ni lazima mgonjwa apate nafuu kama siyo kupona kabisa kama atakuwa amefika mapema, la ukweli tuseme, India wako mbali mnooo tusipotoshane. Nani ataniambia kama South Africa wangeweza kufanya surgery ya mtoto "LAKSHMI"? google ujue how complicated it was. Najua inaweza kumuathiri mtu hadi kuichukia Ujerumani kwa huduma za matibabu kisa ndugu yake katibiwa huko hadi akafa na tukasahau kuwa Germany ni first clas kwa matibabu. Kumbukeni kila nafsi itaonja mauti.
 
Back
Top Bottom