Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Zitto alimaanisha kila figure times 1,000,000 au times 1000? hapo sijamsoma vizuri
Zitto alimaanisha kila figure times 1,000,000 au times 1000? hapo sijamsoma vizuri
Still amekosea kama sio ku-copu jedwali sawasawa. Nadhani ni katika maelfu?I mean figure ni za mabilioni na sio mamilioni...
Yes lazima iwe a sifuri tatu
ni uungwana mtu kukiri kosa lkn nadhani ktk takwimu hapo juu bado kuna kosa. neno sahihi ni bilioni siyo milioni. nadhani hivyo. kosa hilo limewagharimu sn wabunge wa chdm bungeni. walio wengi wanatukana hata kuchangia bajeti hawachangii. chdm changieni bajeti kwa kuonesha mapungufu yake. kutukana hakusaidii chochote. mtaonekana wakorofiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Still amekosea kama sio ku-copu jedwali sawasawa. Nadhani ni katika maelfu?I mean figure ni za mabilioni na sio mamilioni...
Maelezo ya Bajeti Kivuli
Katika mjadala unaoendelea Bungeni kuhusu Bajeti, baadhi ya wabunge wameeleza kwamba Bajeti Kivuli haikuonyesha vyanzo vya mapato na hivyo kuita ni vyanzo sifuri. Ukweli ni kwamba tumeweka vyanzo vya mapato ya ndani kwa ujumla bila kuainisha mapato ya kikodi ni ngapi, mapato yasiyo ya kikodi ni ngapi na mapato ya Halmashauri ni kiasi gani. Hivyo tunakiri kosa hili na tumechukua hatua ya kuainisha mapato hayo Kama inavyoonekana kwenye jedwali hili hapa chini.
Mapato haya yamo ndani ya Hotuba ya Bajeti Mbadala lakini kwa makosa ya kihariri hayakuonyeshwa kwenye jedwali na hivyo kuleta usumbufu kwa Wabunge na Watanzania wengine waliopata fursa ya kusoma Hotuba yetu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nawashukuru walioona tatizo hili na hii inaonyesha kuwa wabunge wanasoma kwa makini Bajeti ya Upinzani.
Ninawatakia mjadala mwema wa Bajeti.
JUMLA YA MAPATO YA NDANI
Tshs. Millioni 11,889,078/-
MAPATO YA KODI
Tshs. Millioni 10,232,539/-
MAPATO YASIYO YA KODI
Tshs. Milion 1,163,533/-
MAPATO YA HALMASHAURI
Tshs. Milioni. 493,006/-
Kabwe Zuberi Zitto,Mb
Waziri Kivuli wa Fedha
kumbe na chadema wanakoseaga!!!!!!!!!!,tehe tehe
Tatizo wachangiaji wasomi wanakuacha upotee. Ngoja mimi mpumbavu mwenzako nikusaidie. Bajeti ya Mgimwa/mafisadi imetenga pesa nyingi kwa matumizi ya kawaida ya serikali i.e 70% wamefanya hivyo kwa kusudi ili ziweze kurudi kwenye mifuko ya mafisadi. Asilimia chache ndo imeelekezwa kwenye maendeleo ujenzi wa barabara, shule, hospitali, maji, kuboresha kilimo n.k. TETEA BAJETI YA MGIMWA UNUNUE DUMU LA MAJI SH'NGI 1500Kikubwa ni kurekebisha mapungufu kule kwa Dr Mgimwa ili buget isimame kama ruler!
10bn$ zitatufikisha wapi?
Ni upuuzi ule ule
10bn$ zitatufikisha wapi?
Ni upuuzi ule ule