Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Unazungumzia hotuba ya jana kumbe akili yako imelala unafikilia kwa kutumia Masaburi nini kizuri aliongea Sensa au jinga sana mali za Watanzania zinaishia kwa wachache we unapongeza hotuba isiokuwa na maamuzi au unafaidika na huu mfumo kudadadekii!
 
Huyu mama anajua anachokisema, Hii maana yake kwamba wasiwe na wasi wasi kwa sababu hakuna hatua yoyote itakayochukuliwa dhidi yao. Kulindana kunaendenlea.
 
A Makinda aliwekwa pale na MAGAMBA ili kutetea maslahi yao!
hivyo siwezi shangaa alichokiongea wakati wa kuhairisha bunge!
 
Ndugu zangu,

Huyu mama huwa anaongea bila kufikiria, yeye kwa akili yake anawafariji hawa mawaziri kama vile yupo nyumbani kwake anaongelea mambo ya familia yake, hiyo kazi aliyopewa ni dhamana tena kubwa, ni maisha ya watanzania wa leo na wakati ujao, kauli kama hizi zinaonyesha ni jinsi gani watu wa ccm wana upeo mdogo wa kuona ni nini kinatokea Tanzania kwa sasa, watu wanazibuka masikio na ubongo unapata fahamu, kunasiku tutauana nchi hii, na siku ikifika si jeshi wala askari atakayeweza kuzuia balaa hilo.ni muda tu na tusubiri tukiomba uhai.
 
Laiti kama ungesikiliza ama kuangalia bunge ungeja ni nini huyu mdau anaongea, kuna maneno hajayabainisha hapo maana aliongeza pia kwa kusema, "kitendo cha ninyi mawaziri kusemwa bungeni ni sehemu ya uwajibikaji"....

Hiyo inaonesha hakuna waziri atakaye adabiwa na Bunge, labda muujiza tu utokee Mkuu wa Kaya atumie mamlaka yake.

Kwenye nyekundu hapo, akamalizia kwa kusema "watajirekebisha tu" Kwa kweli mi sikuona kama haja yoyote ya wabunge wazalendo kuongea chochote kile baada ya yeye kumaliza kwani wameshaongea sana na wamepuuzwa, but watanzania tumeona, tumewasikia wanavyochukulia mambo ya msingi kiulaisilaisi na tumewaelewa vizuri. Sasa tutakacho kifanya ni kuhamasishana kadri tutakavyoweza nchi hii iende kwenye mikono ya wazalendo "TUMECHOKA" M4C ipo njiani.
 
Eti pinda anayejiita mtoto wa mkulima naye ni shujaa, Tz kuna vituko. Hivi kweli watanzania hatujui maana ya shujaa, nishachoka na ushakuna wenu wa kuchumia matumbo! hivi urai wa kenya unapatikaje vile?
 
Sidhani kama kuna mtu aliye mwelewa huyu mkuu wa mawaziri, alichoongea sikutarajia kabisa.
 
Huyu mama anajua anachokisema, Hii maana yake kwamba wasiwe na wasi wasi kwa sababu hakuna hatua yoyote itakayochukuliwa dhidi yao. Kulindana kunaendenlea.

Kamanda WENJE kanifurahisha sana, kasema yeye amefikia hatua anaona hii nchi sasa imeshindikana. Kilichobaki ni kwenda kwa wananchi na kuwaambia mkimuona NGELEJA mwanza pigeni kelele, mkimwona MAIGE mbeyb zomeeni kwa kelele, mkimuona PINDA kigoma zomeeni, mkimwona MKULO dar pigeni kelele, mkimwona JK arusha zomeeni, mkimwona NUNDU morogoro pigeni kelele, mkimwona MAKINDA tanga pigeni kelele, mkimwona MALIMA iringa zomeeni etc, etc, etc, etc, mpaka watasalenda. Mbona PHARAO alijifanya kichwa ngumu kwa sir GOD lkn kilieleweka? Sir GOD alipiga style zote PHARAO wapi, mpaka alipoamua kumpiga kwa knock out.
 
makinda anaendeleza kile kilichoandikwa kaika baadh aya magazeti jana kuwa JK alimkatalia pinda kuhusu mawaziri kujiuzuri akiamini kuwa eti 'ni upepo tu....utatulia. jk na makinda lao moja.hawapaswi kuwa katika nafasi walizokuwamo.
 
jana huyu mama wakati akiliahirisha bunge ametoa kauli moja nzito sana ambayo nilitegemea palepale wabunge wote wangeng'aka lkn ikawa kimya.

Makinda alise" ndgugu zangu mawaziri mliosemwa hapa bungeni msichukie na kufika hatua ya kuumia bure, haya yaliyosemwa hapa ni maneno tu na yameishia hapahapa. Msiendelee kuyawaza sana wakati mwingine hata waliowasema wameshaondoka na hata hawayakumbuki"

ndg. Zangu hii ni kauli inatolewa na spika tena mkuu wa bunge kwamba hawa wabunge wetu ni wapiga porojo tu, wakishatoka hapo yameisha na hata hawakumbuki nini walisema.

My take: Kama wabunge hawataichukulia hatua kauli hii, natangaza rasimi mm sitakuwa na imani na mbunge yeyote tena.
kauli nyingine ni kuwa alisema "wabunge wasome kanuni za bunge na kuzikariri"
 
Sidhani kama kuna mtu aliye mwelewa huyu mkuu wa mawaziri, alichoongea sikutarajia kabisa.
 
Hata sikumbuki vizuri jana waziri mkuu Pinda kazungumza kitu gani wakati akitoa hoja ya kuahirisha bunge.

Nimejitahidi kuvuta kumbukumbu nimekumbuka tu salamu za pongezi kwa Joshua Nassary na Cecilia Pareso pamoja na kuwaombea afya njema mawaziri Mwakyembe, Mwandosya na Magufuli.
Hee!! Magufuli alichanganya Mataulo ofisini nini?
 
Hotuba iliyotolewa na Mh M.Pinda Waziri mkuu wa Tanzania inatufundisha Watanzania tuwe na mioyo ya kuvumiliana na kustahimiliana katika kuelekea katika maamuzi magumu kwa mustakabali wa amani na utulivu wa taifa letu.

Kwa Watanzania wapenda amani hutuba ya Pinda ya kuhairisha bunge ni hutuba ya kishujaa na ya kizalendo.
Pia Ilikuwa hotuba iliyojaa taarifa za uwongo, eti kiwango cha kufeli kimeongezeka kwa sababu serikali imethibiti sana uwizi wa mitihani. Mtoto wa mkulima shame of you!@%
 
Jana huyu mama wakati akiliahirisha bunge ametoa kauli moja nzito sana ambayo nilitegemea palepale wabunge wote wangeng'aka lkn ikawa kimya.

Makinda alise" ndgugu zangu mawaziri mliosemwa hapa bungeni msichukie na kufika hatua ya kuumia bure, haya yaliyosemwa hapa ni maneno tu na yameishia hapahapa. Msiendelee kuyawaza sana wakati mwingine hata waliowasema wameshaondoka na hata hawayakumbuki"

Ndg. Zangu hii ni kauli inatolewa na spika tena mkuu wa bunge kwamba hawa wabunge wetu ni wapiga porojo tu, wakishatoka hapo yameisha na hata hawakumbuki nini walisema.

MY TAKE: kama wabunge hawataichukulia hatua kauli hii, natangaza rasimi mm sitakuwa na imani na mbunge yeyote tena.

Kwa wafuatiliaji wa historia, Liberia mambo yalikuwa kama hapa kwetu, ndo maana Samwel Do aliamua kufutilia mbali ushenzi kama huu ingawa na yeye hakufanya vizuri
 
The meaning of words is in pepole themselves, nafikiri alikuwa akimaanisha zile attack ni za kikazi zaidi kuliko personal. hii ni kawaida hata maofisini watu wantofautiana kikazi lakin they dont take it personal.
 
Back
Top Bottom