Recent content by Mr Someone

  1. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kuna watu huwa wanapenda kuchokoza watu bila sbb. Ww unataka watu waongee, jibu lako ni kukupuuza tu!!!
  2. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Matumizi sahihi ya Home theatre Nyumbani

    Nilinunua mwanza mwaka 2013. Kuna muhindi mmoja ni dealer wa sony na lg(by then).
  3. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania SHIDA NA MAZOEA

    Bonjour wanaJF! Matukio mbalimbali katika maisha huwa yanafikirisha sana. Na humfanya mwanadamu atafakari ni nini hasa kipo nyuma yake. Kwanini yanatokea. Tunaweza tukaishia kusema ni mipango ya Mungu katika matukio kama mafuriko, tsunami au matetemeko ya ardhi kama ya kule Kagera. Lakini yale...
  4. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Ni miaka 16 sasa tangia nianze kunuka sehemu za huku chini

    Nimejisikia vibaya sana! Utoto ni shida mno. Tumsamehe
  5. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Ni miaka 16 sasa tangia nianze kunuka sehemu za huku chini

    Jaribu kidogo kuwa na staha, hekima na utu ... Maumbile na maradhi huwa hayachekwi.
  6. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yafutika kwenye ramani ya Serengeti

    Unaweza kuuwa vyama vya upinzani, lakini kamwe huwezi ua upinzani!
  7. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Matumizi sahihi ya Home theatre Nyumbani

    Mkuu hebu nisaidie, home theatre yangu, ni sony ina tatizo au katabia kamoja. Unaweza izima katika ukawaida, ukija kuwasha unakuta sauti haipo. Unaweza jaribu kuiwasha even a week lakini sauti haipo. Over a sudden ukiwasha inatoa sauti. Hili suala limetokea mara ya 3 sawa, nini yaweza kuwa shida?
  8. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Ipo kweli hii?
  9. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Serikali iwashawishi matajiri wa kichina wainunue vodacom

    Vision ya mkulu ni kuifanya TTCL kama kampuni pekee ya mawasiliano Tz.... Mission yake ni kuua haya makampuni mengine.. Ndio kaanza kuichukua airtel (ttcl v airtel saga) then voda.... Na ttcl ukiwaangalia wameanzia kujiboresha zaidi kwenye data(ambayo ndio future ya mawasiliano).. Ni suala la...
  10. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Wanaposema uchumi wa kati huwa wanamaanisha nini?

    Tuanzie kipengele cha pili (kwani kuna level ngapi?) Wachumi(Benkk ya dunia) imezigawanya chumi za nchi katika makundi matatu. Nchi za kipato cha juu (nitaziita NKJ), Nchi za kipato cha kati(nitaziita NKK) na Nchi za kipato cha chini (nitaziita NKC). Vigezo mbalimbali vinatumika kuashiria...
  11. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Hivu Idris akiingia 18 za mpoki atatoka salama?

    Kuna wachekeshaji na wafanya ujinga. Idris ni mfanya ujinga & not comedian!
  12. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

    Kuna jamaa yangu ni askari magereza, kila tukikaa kwenye vikao vya 'viti virefu' huwa haachi kugumia maumivu ya kupigwa 6 Mil za Qnet.... Wasiwasi wangu nadhani ipo siku atamfyatulia risasi mtu wa Qnet aliyemuunganisha.[emoji23]
  13. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Eti Mtoto wa kiume unaangalia Tamthiliya ya Sultan

    Sawa chief!
  14. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Tuwasaidieni vyama vya upinzani

    Mambo dada?
  15. Mr Someone

    JamiiForums Tanzania Eti Mtoto wa kiume unaangalia Tamthiliya ya Sultan

    Weww uanaume kwako unapimwa kwa vitu gani?
Back
Top Bottom