Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,618
- 33,475
- Thread starter
- #21
Rebeca 83 unaweza kuwa Una lengo zuri ila umeshindwa kuiweka vizuri ili ueleweke.
1. Unaposema wawe wanashiriki project zinawahusu wananchi mfano kwenye Afya na matibabu, Mara ngapi tumesikia Upinzani wameenda kutembelea Wagonjwa lakini wamekatawa?
2. Unasema hakuna mtu wa Ukawa wa kupiga soga kwenye Media, hivi hawa wanaovamiwa na Polisi wawapo kwenye Press ni wakina nani?
Wewe ni mgeni kwenye hii nchi?
born and bred in Tanzania...
1.kutembelea wagonjwa ni jambo la kheri na yeyote anayelipinga hili tumlaani kwa nguvu zote!..mie sijawahi kulisikia hili unless hawakufuata taratibu,sioni why mtu akatazwe kuona wagonjwa,inawezekana uko right ila sijaelewa Why?
2.Mie naonaga viongozi wa Chadema kwenye press,sijawahi kuona mropokaji/mpiga soga wa Chadema equivalent na polepole ,,,,anyway Mwifwa amepoint out policcm ni tatizo….sasa msuggest hao policcm tuwafanyeje?